Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Uko sahihi mkuu, wananchi wapewe nafasi ya kupiga kura ya maoni tusonge mbele.Rahisi kabisa na hiyo itapunguza gharama, kuliko kupeleka rasimu ikajadiliwe na eti bunge la katiba ambalo majority ni CCM. Rasimu ya Warioba ni maoni ya wananchi, na katiba ni ya sisi wananchi. Sasa haya maoni kwa nini tena yakajadiliwe na wabunge wa CCM? Kumbuka, kwa muundo wa bunge la katiba, hata iwe vipi, majority huwa ni CCM, ndiyo maana nasema bunge la katiba la CCM. Wakati wa kuchukua maoni kwa wananchi, hawakua wanawafuata watu kivyama, waliwahoji watanzania.
Rasimu ya Warioba ndiyo katiba bora kwa watanzania.
Ndugu usiyumbe sana. Tatizo kubwa ni CCM.Mkuu, Tatizo sio CCM, tatizo ni kwamba kwenye jamii yetu kuna watu wengi wa ovyoo, wengine wachawi (hawapendi kuona vitu vikienda)n.k hao ndio wanaojiunga kwenye vyama vya siasa randomly (kwa sababu ndio watu tulio nao). Ndio maana tunasisitiza sana, kwamba pamoja na umuhimu wa kuwa na kiongozi bora ambaye sasa angalau tunaye, ni muhimu tukawekeza vile vile kuibadili jamii ambayo ndio domain.
"Katiba ni maridhiano ya watu" uko sahihi kabisa. Maridhiano ya watu ndiyo hiyo "rasimu ya Warioba"Mkuu, hata ukiwa na nguvu, sio kila mahali unatakiwa kutumia nguvu zako. Utumiaji wa nguvu kulazimisha watu wakubaliane na mawazo yako (yawe mazuri au mabaya) huo ni udikteta.
Aidha, Katiba ni maridhiano ya watu/umma (ndivyo inavyopaswa kuwa) sio enforcement ya mtu fulani mwenye nguvu. Tukitaka liwe zao la mwenye nguvu inawezekana, ila hiyo maana yake ni nini?
........sasa hii ya ku force siku tukipata rais mwenda wazimu........
Shida ni CCM.katiba mpya NI muhimu Sana hasa kwa nyakati hizi .kwani tatizo ni nn mpaka hili suala la katiba ,lichukue muda mrefu bila kufanyiwa kazi!? Nini shida!?
Uko sahihi kabisa. Kikwete alikua na dhamira njema kabisa ya kuwaachia watanzania katiba mpya na bora kabisa, kama ilivyo bora rasimu ya Warioba. Tatizo lilikuja baada ya wajumbe wa bunge la katiba wana CCM, waliona ikipita na kuwa katiba, chama chao kinaingia kaburini. Katika vikao vyao vya chama, wakamwambia JK, mzee wewe unaondoka na utabaki kuwa rais mstaafu, sisi unatuachia nini hiki!!?? Ndiyo ulikua mwanzo wa mtifuano ndani ya bunge la katiba, tukafika tulipofika.Unamuonea bure JK. Kumbuka yeye ndio aliunda tume ya Warioba na akamchagua kuwa wenyekiti, hivyo alikuwa na total control ya tume. Kwa maana hiyo angataka chake ndio kiwe conclusion, angeiagiza tu tume iandike ripoti kama atakavyo yeye, na tume idai ndio maaoni ya wananchi kisha awaambie wajume waipitishe kwa nguvu moja.
Asingekuwa na sababu ya kuacha tume iandike ripoti asiyotaka halafu awapangie wajumbe cha kusema kupinga ripoti ambayo yeye alikuwa na uwezo wa kuifanya iandikwe atakavyo toka mwanzo.
Hivyo, dhamira yake ilikuwa ipatikane katiba halisi na sio ya kubumba ndio maana yeye akakaa pembeni.
Unamuonea bure JK. Kumbuka yeye ndio aliunda tume ya Warioba na akamchagua kuwa wenyekiti, hivyo alikuwa na total control ya tume. Kwa maana hiyo angataka chake ndio kiwe conclusion, angeiagiza tu tume iandike ripoti kama atakavyo yeye, na tume idai ndio maaoni ya wananchi kisha awaambie wajume waipitishe kwa nguvu moja.
Asingekuwa na sababu ya kuacha tume iandike ripoti asiyotaka halafu awapangie wajumbe cha kusema kupinga ripoti ambayo yeye alikuwa na uwezo wa kuifanya iandikwe atakavyo toka mwanzo.
Hivyo, dhamira yake ilikuwa ipatikane katiba halisi na sio ya kubumba ndio maana yeye akakaa pembeni.
Kwa hiyo kumbe tunakubaliana kuwa ndani ya ccm kuna watu wanaoaminika na wanaoweza kufanya kazi kubwa na nzuri kama uliowataja. Kwa hiyo wanaotuambia tatizo ni CCM hawako sahihi kwa mujibu wa maelezo hiyo...JK hakutegemea kama tume italeta mapendekezo ya katiba ile, haswa serikali 3.
..alijaza watu wa Ccm katika tume akitegemea watapendeza rasimu inayolinda status quo.
..Warioba, Salim Salim, Butiku, na vigogo wengine wa Ccm ktk tume, walielemewa na maoni ya wananchi kuhusu katiba, na mwisho wakalazimika kuleta rasimu tuliyoiona.
Ni sawa lazima kiwe kikubwa japo tunashangaa kimekaa muda mrefu kikiwa na ukuaji duni sana. Bado kimejaa woga na kutojiamini. Kwa umri wake hakikupaswa kuzaidiwa na vyombo vya dola,kama polisi.Uko sahihi kabisa mkuu. Ukilinganisha na vyama mbadala vya Tanzania (kibongo kibongo) CCM bado imewaacha vyama vingine kwa mbali sana kwa kila aina ya capacity.
Kinachotakiwa tu ni kujiepusha kuwa kwenye 'comfort zone' na kutengeneza mkaka kabambe wa capacity bulding kwa vijana kwa ajili ya leo na kesho kwani eneo hilo bado halijawekewa mkazo wa kutosha. Kwa mfano kuna hali ya vijana kutokuwa na confidence ya kutosha kujibu hoja zinazojitokeza wakati zinajibika kirahisi tu.
Kwa hiyo kumbe tunakubaliana kuwa ndani ya ccm kuna watu wanaoaminika na wanaoweza kufanya kazi kubwa na nzuri kama uliowataja. Kwa hiyo wanaotuambia tatizo ni CCM hawako sahihi kwa mujibu wa maelezo hiyo.
Pili, unataka useme JK angetaka tume tofauti au taarifa tofauti ya tume angeshindwa?
Mkuu tatizo sio Ccm kama chama. Tatizo ni watu. Yaani kuna tatizo la mtu na mtu. Ndio maana mambo yalivyokuwa kipindi cha Magufuli sivyo yalivyo kipindi cha Rais Kama Samia, wakati chama ni kile kile CCM. So hatuna tatizo la chama tuna tatizo la actors.Ni sawa lazima kiwe kikubwa japo tunashangaa kimekaa muda mrefu kikiwa na ukuaji duni sana. Bado kimejaa woga na kutojiamini. Kwa umri wake hakikupaswa kuzaidiwa na vyombo vya dola,kama polisi.
Pamoja na umri wake hakina tofauti na RPF cha Kagame.
Kwa umri wake kisingeogopa katiba mpya,kilitegemewa kuwa kama ANC ya South Africa. Kinavizidi vyama vya upinzani miaka 27.
Wakati maridhiano yakiendelea, wanakiwasha huko NCCR kupitia mtu wao THIRTY.Sema kimeanza kubadilika kama tunayoyaona hayana Hila ndani yake,kutoka kuwa Chama Cha kiharamia kuelekeza kuwa Chama Cha siasa.🤔
Ni sahihiHofu si kuongozwa kwa nchi, bali hofu ya wana CCM wengi hasa wabunge ambao ndiyo wenye kufanya maamuzi, ni kwamba kama kutakua na demokrasia nzuri, ikifika kipindi cha uchaguzi wengi wao watapoteza majimbo. Kumbuka wengi walibebwa na udictator wa JPM dhidi ya vyama vya upinzani. Kuna majimbo ambayo demokrasia ikirudi na wahusika wa vyama vya upinzani wakagombea, hakuna hata kujiuliza, walioko sasa wa CCM lazima wapoteze. Sasa watu kama hao huwezi kutegemea wapende maridhiano na hali ya siasa inayojengwa sasa na SSH.
🤣🤣🤣Wakati maridhiano yakiendelea, wanakiwasha huko NCCR kupitia mtu wao THIRTY.
Azizi nakuelewa tatizo ni watuMkuu tatizo sio Ccm kama chama. Tatizo ni watu. Yaani kuna tatizo la mtu na mtu. Ndio maana mambo yalivyokuwa kipindi cha Magufuli sivyo yalivyo kipindi cha Rais Kama Samia, wakati chama ni kile kile CCM. So hatuna tatizo la chama tuna tatizo la actors.
Na jamii ikiwa na watu wengi wenye la tatizo, inatarajiwa viongozi watakuwa ni reflexion ya jamii hiyo. Sasa hivi tuna Rais bora, laini mwisho wa siku hawezi kufanikisha kila kitu peke yake.
Hivyo ni kweli kuna matatizo mengi tu lakini ni muhimu kuna source na solution sahihi badala ya coment za jumla jumla.
MkuuWakati maridhiano yakiendelea, wanakiwasha huko NCCR kupitia mtu wao THIRTY.
Ila pia huyo 30 si mzee kijana alielelewa na chadema, sasa kaenda kufanya mapinduzi huko nccr, lawama zinaelekezwa CCM, dah!M
Mkuu
Huyo thirty anapambania mageuzi au anasapoti yaliyopo!!?
ccmIla pia huyo 30 si mzee kijana alielelewa na chadema, sasa kaenda kufanya mapinduzi huko nccr, lawama zinaelekezwa CCM, dah!
Yuko upande wa viongozi wa KIJANI wasiopenda maridhiano na habar ya KATIBA mpya. Watashindwa tu.M
Mkuu
Huyo thirty anapambania mageuzi au anasapoti yaliyopo!!?
Kuna msemo duniani umeanza kuzoeleka Eti ''Mtu fulani amefanya dhambi kubwa Hadi SHETANI anamshagaa''Ila pia huyo 30 si mzee kijana alielelewa na chadema, sasa kaenda kufanya mapinduzi huko nccr, lawama zinaelekezwa CCM, dah!