Hatimae siku imefika ikiwa na hali nzuri.

Hatimae siku imefika ikiwa na hali nzuri.

Dumuzii

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
3,593
Reaction score
8,595
Ni hivi leo naenda kujitafunia mchumba mtu.

Lengo la kuwaletea huu uzi ni kuwaasa vijana wa kiume walio kwenye miaka 19 hadi 29. Kuwa msiwekeze kwenye mapenzi jiwekezeni kwenu wenyewe. The more utajiwekeza ndivyo nafasi yako kubwa ya kufuatwa na hawa watoto wazuri inakua kubwa. Japo maboya wanawaambia muwekeze kwa wanawake na kuishia Kuliwa vi hela vyenu na kufujwa muda wenu bure.

Ndio hivyo oneni wenyewe nimetumia meseji ngapi kupata tunda la huyo mchumba wa mtu....?

Nyie majentromeni uchwara amkeni ...zundukeni kabla hamjapata mafunzo kwa vitendo
Screenshot_20241002-094226_WhatsApp.jpg
 
Ifikie hatua mapenzi tuache kuyajadili,maana si issue sana sikuhizi.Acha ushamba bro...acha ushamba...ACHA USHAMBAAA😖
Upo kwenye jukwaa la mapenzi halafu unalalamika tuache kujadiri mapenzi ni ushamba hahahaa
 
Mbona hapo wewe ndio unaonekana unafosi mapenz kwanza sms wewe ndio unajibu ontime na hakuna sehemu huyo dem kaonekana anakutaka sana hiz sms zako kajibu cul wala hajatuma double text 'na kwanini umefuta hiyo sms yako.

Wewe ni fala tu na mshamba wa maku.
 
Back
Top Bottom