Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
dronedrake Umemuona mla mbao lakini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa iyo ww mpori kukutana na makahaba wanao jiuza unadhani ume win???Ni hivi leo naenda kujitafunia mchumba mtu.
Lengo la kuwaletea huu uzi ni kuwaasa vijana wa kiume walio kwenye miaka 19 hadi 29. Kuwa msiwekeze kwenye mapenzi jiwekezeni kwenu wenyewe. The more utajiwekeza ndivyo nafasi yako kubwa ya kufuatwa na hawa watoto wazuri inakua kubwa. Japo maboya wanawaambia muwekeze kwa wanawake na kuishia Kuliwa vi hela vyenu na kufujwa muda wenu bure.
Ndio hivyo oneni wenyewe nimetumia meseji ngapi kupata tunda la huyo mchumba wa mtu....?
Nyie majentromeni uchwara amkeni ...zundukeni kabla hamjapata mafunzo kwa vitendoView attachment 3112916
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi kufunua chupi ya kahaba ni jambo la kuja kuhadithia humu JF?
dawa yake Dieseldronedrake Umemuona mla mbao lakini ?
Kama una mpango wa kuchoma nyumba Sawa.dawa yake Diesel
😀😀😀😀😀Hao malaya wa telegram huwa wanaliwa siku hiyohiyo ndani ya dakika 3 tu we amekuzungusha kwanzia Aug 30 hadi October 2
ah wapi, nimepiga mara 2 kenchi zote, hakuna Dumuzii anayesikikaKama una mpango wa kuchoma nyumba Sawa.
Hiyo August 10 nilikua busy na vikojoleo vingine......na hiyo ni WhatsApp sio telegram boy harusi yake mwezi ujaoHao malaya wa telegram huwa wanaliwa siku hiyohiyo ndani ya dakika 3 tu we amekuzungusha kwanzia Aug 30 hadi October 2
🤣🤣🤣🤣Ufudu kakutana na Malaya muandamizi anasema mchumba wa mtu wakati malaya kila mwanaume anamuita mchumba
Ahahaahaa wabongo bana huyo anamzunguka mwenzie hivyo anajiwekea security anahisi labda nampima cos bado hatuja chubuana ila live na calls anaongea fresh na amenyooka sema baada ya kuona kistatus chake ndio nika msuprise na tarehe ya kunyanduliwaMbona hapo wewe ndio unaonekana unafosi mapenz kwanza sms wewe ndio unajibu ontime na hakuna sehemu huyo dem kaonekana anakutaka sana hiz sms zako kajibu cul wala hajatuma double text 'na kwanini umefuta hiyo sms yako.
Wewe ni fala tu na mshamba wa maku.
Nilipo soma neno limbukeni nikakumbuka neno ""ZUMBUKUKU"" natamani kujua Kama ni maneno ya nayo endana.Wewe ni LIMBUKENI.
Unaonekana una kaushamba flani hivi kuhusu mbususuNi hivi leo naenda kujitafunia mchumba mtu.
Lengo la kuwaletea huu uzi ni kuwaasa vijana wa kiume walio kwenye miaka 19 hadi 29. Kuwa msiwekeze kwenye mapenzi jiwekezeni kwenu wenyewe. The more utajiwekeza ndivyo nafasi yako kubwa ya kufuatwa na hawa watoto wazuri inakua kubwa. Japo maboya wanawaambia muwekeze kwa wanawake na kuishia Kuliwa vi hela vyenu na kufujwa muda wenu bure.
Ndio hivyo oneni wenyewe nimetumia meseji ngapi kupata tunda la huyo mchumba wa mtu....?
Nyie majentromeni uchwara amkeni ...zundukeni kabla hamjapata mafunzo kwa vitendoView attachment 3112916