Hatimae siku imefika ikiwa na hali nzuri.

Hatimae siku imefika ikiwa na hali nzuri.

Nabet kwa mleta mada..huyu ni Afande awe mlinzi wa kampuni au wa serikari sasa amepata kamshahara kake na yeye leo anaenda kuonja dem wa daslam ndo mbwembwe mnazoziona hizi.Toka atoke kijiji kwao alikuwa anaishia kuwaambia mambo!wakimjibu poa alikuwa anasikia rahaaaaa,leo mzee wA kazi anaenda kupona.NB:Hawa jamaa wakuitwA Askari wengi wao ni washamba sana.
 
Kama ndio wewe unae taka kumuoa ndio hivyo nakusaidia
Mkuu,
Mimi ni mtu mzima tulisha vuka izo level zamani Sanaa.

Naweza kua baba ako mkubwa au mdogo au mjomba wako kua na adabu!

By the way kila lakheli mwanangu. Sito jibishana Tena na wewe kwenye hii scenario.
 
Hivi kula tunda imekuwa kesi,ni kipi kipya hapo?
 
Nabet kwa mleta mada..huyu ni Afande awe mlinzi wa kampuni au wa serikari sasa amepata kamshahara kake na yeye leo anaenda kuonja dem wa daslam ndo mbwembwe mnazoziona hizi.Toka atoke kijiji kwao alikuwa anaishia kuwaambia mambo!wakimjibu poa alikuwa anasikia rahaaaaa,leo mzee wA kazi anaenda kupona.NB:Hawa jamaa wakuitwA Askari wengi wao ni washamba sana.
Asante kwa kutupa historia yako kwa ufupi.
 
Back
Top Bottom