Nabet kwa mleta mada..huyu ni Afande awe mlinzi wa kampuni au wa serikari sasa amepata kamshahara kake na yeye leo anaenda kuonja dem wa daslam ndo mbwembwe mnazoziona hizi.Toka atoke kijiji kwao alikuwa anaishia kuwaambia mambo!wakimjibu poa alikuwa anasikia rahaaaaa,leo mzee wA kazi anaenda kupona.NB:Hawa jamaa wakuitwA Askari wengi wao ni washamba sana.