Ufudu kakutana na Malaya muandamizi anasema mchumba wa mtu wakati malaya kila mwanaume anamuita mchumbakazi ipo mwenye mchumba wake akitumia VAR umeisha
HujamboIfikie hatua mapenzi tuache kuyajadili,maana si issue sana sikuhizi.Acha ushamba bro...acha ushamba...ACHA USHAMBAAA😖
ni huzuniUfudu kakutana na Malaya muandamizi anasema mchumba wa mtu wakati malaya kila mwanaume anamuita mchumba
Tafuta helaMzee she is so decent yaani ukimuona ni kama huyo wako unayo hisi hapakuliwi kama hivit
Siyo mapenzi tu bro, mahusiano yote.Acha ushambaaa,kudate na wapenzi wa wenzio na kuja kujinadi hapa.Acha ushambaaa,hukukaa miezi Tisa tumboni ili mama ako aje ajutie kukuzaaa,hilooooUpo kwenye jukwaa la mapenzi halafu unalalamika tuache kujadiri mapenzi ni ushamba hahahaa