Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuleni bombadia
Inaongelewa bundle hapa au mafuta?Mngekuwa na maisha magumu mngenunua bundle?
Very sensitive issue yeye analeta utani kisha Baadae wanasema JF imeshuka hadhiInaongelewa bundle hapa au mafuta?
Acha wehu!
huyo ndie GENTAMYCINE Barbarosa na KIBST hovyoo kabisaVery sensitive issue yeye analeta utani kisha Baadae wanasema JF imeshuka hadhi
wee jamaa bana yani hapa mahututi kwa kuchekaunayapata wapi kwa bei hiyo?,
nahitaji dumu 500.
Hivi tomato paste bei gani?Nyanya 1/ 300 tanzania ya viwanda
Siandiki kwa Ushabiki Bali kwa uchungu! Mafuta ya kupikia yameshakua dili. Waliyonayo wameyafungia, naomba serikali ya CCM isiwakamate lakini iwabembeleze wayauze. Wanaouza wanauza kwa bei ya juu. Source, Dukani kwa Mangi.
HahahahahahhahahahahhahahahaUchumi si umepanda! wacha mafuta yapande bado sisi tu kupanda mabasi kuelekea vijijini
Lita Tsh 3000. zamani ilikuwa Tsh ngapi? mi huwa nanunua alizeti kwenye viwanda vya mitaani lita Tsh 3800.Mafuta dumu la lita 20 tunanunua kwa tsh60000
Uko sehemu gani ndugu? Maana sehemu nyingi yanazwa lefu 68-70kMafuta dumu la lita 20 tunanunua kwa tsh60000
Wachochezi au VP?Ndio maana jiwe anataka kufungia mitandao ya jamii