Nazi na mafuta zinaweza kutosheleza mahitaji ya waTZ?Tumieni nazi na mawese, mbona ni mafuta safi tu! Hayo mnayong'ang'ania ndo hayo hayo yanasababisha magonjwa ya moyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nazi na mafuta zinaweza kutosheleza mahitaji ya waTZ?Tumieni nazi na mawese, mbona ni mafuta safi tu! Hayo mnayong'ang'ania ndo hayo hayo yanasababisha magonjwa ya moyo.
Shida ya kula kwa wazaziHizi ni taarifa nzuri kwa Ufipa...
we Mahalu unaambiwa lita 20 inauzwa kwa elfi 60, sasa hawatafanikiwa kwa lipi?wala hamtafanikiwa.
KWA HIYO HATA VILE VINAVYOPASHWA KUCHOMWA KWA MAFUTA ITABIDI VICHOMWE HIVI HIVI? MFANO MAANDAZI, MKATE,NK NKMafuta hayo ndiyo chanzo kikuu cha magonjwa ya moyo. Ngoja kwanza tuwe healthy kidogo mkuu yatarudi [emoji16][emoji16][emoji16]
Ukisoma comment yangu tena utanielewa tu mkuu. Ni kitu kinaitwa sarcasm....KWA HIYO HATA VILE VINAVYOPASHWA KUCHOMWA KWA MAFUTA ITABIDI VICHOMWE HIVI HIVI? MFANO MAANDAZI, MKATE,NK NK
Kuna tatizo....Shida ya kula kwa wazazi
kumbe umeambiwa....mnapenda sana kusikia..yatawashindawe Mahalu unaambiwa lita 20 inauzwa kwa elfi 60, sasa hawatafanikiwa kwa lipi?
Mnyonge ni mtu wa kipato gani?
Kama hayawatoshi waongeze uzalishaji wao weenyewe, kila kitu kuagiza tuu! Hiyo pesa ya kununua kila kitu wanayo?Nazi na mafuta zinaweza kutosheleza mahitaji ya waTZ?
Kwetu ndo tunanunua hivyo.......huku Lindi kila kitu bei ya bombadia.......mchele mzuri 4500 ...papai lisiloeleweka 2000 zuri 4500 ....nanasi 5000 tikiti 6000/7000 ....nyanya moja 300/400 huku kwetu cha bei rahis ndimu tu sh 100Mimi nataka yafike Lita moja 5000
Ukame uluosababisha mahindi yawe mengi kiasi cha kushuka kwa bei yake....Kwa upande wa mchele hilo lilitegemewa kutokana na Ukame wa mwaka jana sehemu kubwa ya nchi
Mwaka huu utashuka sana Hali ni nzuri
Tunasubiri jua tu uanikwe
Yamepanda tena ni 65,000Mafuta dumu la lita 20 tunanunua kwa tsh60000
Nazi yenyewe bei gani? Kwa matumizi ya ndani siyo inshu hata chukuchuku tutakula,sasa kuna watu wanafanya biashara ya mandazi, wanauza samaki,mikate,chapati,mama ntilie n.k unafikiri wanaendesha vipi biashara zao?Tumieni nazi na mawese, mbona ni mafuta safi tu! Hayo mnayong'ang'ania ndo hayo hayo yanasababisha magonjwa ya moyo.
Vipi haiwezi kuwa Source? Au Tatizo Liko wapi??Haki ya mungu,eti source dukani kwa mangi
Jamani!Kuleni bombadia
Aa wapi. Mafuta ya magari yakipanda bei kila kitu kinapanda bei automatically, kwa sababu vyakula vinahitaji kusafirishwa kutoka shambani kwenda mjini kwa walaji wakuu. Huo mfumuko wanaoaema umeshuka ni magumashi tuNini sijui imeshuka toka asilimia 6 hadi 3.8 asilimia.