KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Mwaka mmoja wenyewe umewashinda!tayari chali nasikia jamaa kiwembe na kazaa nje ya ndoa pia nishida.Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka mmoja wenyewe umewashinda!tayari chali nasikia jamaa kiwembe na kazaa nje ya ndoa pia nishida.Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Umekosa hadi akili ya kuandika duh!Ndugu waislam hivi hawa mashehe wanaohubiri kupingana na make kwa wanawake wapo sahihi?
Inakuuma sana nahisi unamtaka huyo kaka..BAHATI MBAYA LISHATIMIA!
HATA MIAKA MITATU ALIYOWATABIRIA HAIKUFIKA!HATA MWAKA TUUU KWANZA !AHAHAAHAHAHAHHAHAHAH
Kwa rahaaaa zake hagombwi.Na kaongeza mke wa pili tayari
Utabiri kama huu unaufanya kwa bei gani?[emoji3] [emoji3] [emoji3] kwani wameachana mmoja si kadai yeye ndio ametoa ruhusa meneja aoe mke wa pili
Siku zote amini mpaka amekuwa mkuu wa wilaya kuna rushwa moja kubwa ya siri ilitoka
Hii chakula ya waliompa vyeo au waliompigania mpaka akateuliwa
Yangu macho
Mnamuonea wivu?acheni wivu wa kikeDuuh naona unabii umetimia jamaa kaongeza mwingine ni dalili ya kukinai
Tayari kavuta mke mwingine huy dogo ana balaaNdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Muulize mwenyewe huyu mkuu IFRSAhahaa hitimisho hilo limenifanya nichunguze kwa umakini makeup.
Hongera zao
Hahahah uko mke ana zali kaachika Azam kavutwa na Kijana wa Maji.Hivi hii ndoa ipo
Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Huyo aliyemuowa na huyo mwanamke wote wamekutana pipa na mfuniko,ingekuwa mimi siowi mwanamke aliyeachika mume akiwa hai.Hahahah uko mke ana zali kaachika Azam kavutwa na Kijana wa Maji.
Oyaaa njoo mchukue bibi harusi wako huku mjengoniNdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua