Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Ndugu waislam hivi hawa mashehe wanaohubiri kupingana na make kwa wanawake wapo sahihi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji2] [emoji1]Yan mm Muslims ndio hapa tu kinachonifanya nashindwa kumuoa binti yule. Kuoa rahisi vile vile kumwagana rahisi. Yani ndoa ya Kiislam ipo kama unabet mchezo wa KENO vile.
[emoji1] [emoji1]Uyo mmama ana pua balaa
uliongea kweliNdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Kwan wamemwagana?uliongea kweli
Miezi 6 tu.Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
BAHATI MBAYA LISHATIMIA!Umechagua kuwa mpiga ramli....dua la kuku hilo.
WE JAMAAA NOMA!Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Ana miaka mingapi mkuu?Huyu DC si ndio yule mdogo kuliko Ma DC wote.?
Aliruhusiwa na bi mkubwa.Na kaongeza mke wa pili tayari
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kwani wameachana mmoja si kadai yeye ndio ametoa ruhusa meneja aoe mke wa piliWE JAMAAA NOMA!
SEMA NINI!ULIWAPA MINGI SANA!
wenzio hata MWAKA HAWAKUTAKA UFIKE!
miezi sita tuuuuu!INATOOOOSHA SANA!
25Ana miaka mingapi mkuu?
Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Duuh naona unabii umetimia jamaa kaongeza mwingine ni dalili ya kukinaiNdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua