Mkuuu we kibokoNdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuuu we kibokoNdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
We jamaa....[emoji15] [emoji15] [emoji15]Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
alienda kwao akarudi tena, mwanaume kishaoa mara ya tatu sasaKwan wamemwagana?
WEWE ULITAKIWA KURITHI MIKOBA YA SHEIKH YAHAYANdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Only 6 months bi harusi karuhusu mume aoe mke mwingineNdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Mkuu chukua bia kreti mbili hapo unywe na wale waliokutolea maneno makali ulipotabiri haya mimi nitalipa!Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
usiendeelee basi kuwatabiria,ukoje lakin![emoji3] [emoji3] [emoji3] kwani wameachana mmoja si kadai yeye ndio ametoa ruhusa meneja aoe mke wa pili
Siku zote amini mpaka amekuwa mkuu wa wilaya kuna rushwa moja kubwa ya siri ilitoka
Hii chakula ya waliompa vyeo au waliompigania mpaka akateuliwa
Yangu macho
Cha ajabu ni nn!? Mbona nyingine Uzungu mwingi na hushangai, au ndo kujinasibisha na Wazungu!?Sijapata kuona ujinga kamaa huu.....yaani mtu unafunga ndoa unavaa kama mwarab, why? Huyu kijana hana washauri?
kwani na hawa ni mastaaMbona ya grace kingalame na julius kihampa inadumu, tuwatakie heri Mungu aisimamie ndoa yao idumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikua kiongozi wa uvccm. na pia kiongozi wa chama chuoni[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yaan nam ndo nafikiria hapa ameupataje maana Kwa umri huo jmn m nilikuwa ndo namaliza chuo ambapo ni umri wengi wanaokuwa wanamaliza au anaemfahamu Bi harusi jmn
Sent using Jamii Forums mobile app
your comment is very validNdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Usukani umeshikwa na Delilah!Karibu ktk ulingo wa tamu na chungu ambamo Samsoni ni marachache sana kutoka salama.
Mnamashela wanava. Alafu anashanga. Hawezi jenga hoja huyuCha ajabu ni nn!? Mbona nyingine Uzungu mwingi na hushangai, au ndo kujinasibisha na Wazungu!?