Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mkate mgumu dhidi ya chai...Dc.shavu hilo mjomba.najiuliza alimtongoza kabla ya udc au baada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma vizuri.huyo dada ndo DC.Kumbe mteule wa JPM alikuwa hana jiko duh mm nilifikiri kiongozi ea umma hususan kuanzia DED lazima uwe na jiko.kumbe hata msela ni poa tu unapata ulaji toka kwa mkulu[emoji14] [emoji14]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwaombee hayo.Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeeZitapungua ukubwa pale atakapoanza Kusalitiwa.
Aisee wanaume wa tz nimewashindwa Mi ndiyo maana sipakagi hayo kuogopa kujadiliwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Makeup za hivi huleta breakup pale bibi harusi anapooga na bwana harusi anagundua kuwa makinikia yake sio yale mashobo aliyotegemea!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dc.shavu hilo mjomba.najiuliza alimtongoza kabla ya udc au baada.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna viungo vya mwili lazima vifananeDuuuuh hizo pua mbona zimekuwa kubwa hivyo??
Pogba wa tz nchi imekushinda!
Bibie bila shaka we ni mrembo wa asili ndio maana hupendi kuongezea uzuri wa kudownload,hongera kwa hiloAisee wanaume wa tz nimewashindwa Mi ndiyo maana sipakagi hayo kuogopa kujadiliwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii make up niliichunguuza instagram....Ahahaa hitimisho hilo limenifanya nichunguze kwa umakini makeup.
Hongera zao
Aisee hivi unadhani ni jambo gani utafanya usijadiliwe? Binadamu hawana jema angalia moyo wako. Ukiniambia huyapendi sawa ila kukwepa kujadiliwa unaidhulumu nafsi bureeAisee wanaume wa tz nimewashindwa Mi ndiyo maana sipakagi hayo kuogopa kujadiliwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app