Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]Heheheee ukute Huyo anayemwita mwenzie bi mkubwa sharubu zimemkomaa kama kisiki...teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]Heheheee ukute Huyo anayemwita mwenzie bi mkubwa sharubu zimemkomaa kama kisiki...teh
Bwana harusi handsome... hongera kwao
Uyu ni yule binti mwenye miaka 23 na sura ya kizee? Hongera Abdul kwa kupata jiko.
Duh mda umeenda toka kipind icho azaboy.. Mpka kufunga ndoa... Hongera
Sent using Jamii Forums mobile app
whaaat! 23yrs? mhh kumbe na mie kwenye wenye miili mizuri nimo aic! duh..ana mwili wa kuzeeka! ndo azae fast fast
Ikizidi noma, ngoja atoe machozi uone hiyo zote zinatokaMake up ya kiarabu hiyo, mtoto shombe.
Na hivyo ni DC naona alipania kuwakogaa.
Wakerekwao shauri zao, make up haiwazuii maharusi kuimarisha ndoaa.
Hahaa nahis maana bro jangwan alikuwa hakatikiBi harusi kasoma Jangwani, ukute wameanza kitambo Hawa mambo ya Azajangwa
[emoji1] [emoji1] Kamwe huwezi kumtenganisha fundi garage na lugha chafuPiga kwanza mswaki hilo
Domo lako hlf ndio uchangie hoja
Unatuchafulia hewa humu
Hadi sim zina Stuck
Mbona ya grace kingalame na julius kihampa inadumu, tuwatakie heri Mungu aisimamie ndoa yao idumu.Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Hawaendani kabisa sema kipendacho roho mama... make up kama wamemmwagia, hajapendeza nazo zaidi wamchafuayeah mtam hatari sema km hawajaendana vile! bi arusi ana mwili! hizo makeup hizoooo!
Hawaendani kabisa sema kipendacho roho mama... make up kama wamemmwagia, hajapendeza nazo zaidi wamchafua
kwamba kijana kafuata fursa au?Dc.shavu hilo mjomba.najiuliza alimtongoza kabla ya udc au baada.
Sent using Jamii Forums mobile app