Hatimaye Abdul Mohamed(Azam Sports) afunga ndoa na DC wa Pangani

Hatimaye Abdul Mohamed(Azam Sports) afunga ndoa na DC wa Pangani

Hiyo make up uso unakua kama kachumbari

Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
 
Umepiga tembo kwa bua[emoji3]
Hili li mtu lipo lipo tu hapa duniani hajui lolote huyu[emoji3]
Wallahy namshkuru Allah kwa kunikaalia kuhifadhi Quraan Qareem na biblia (alhamdulillah)
Zote nimihifadh kichwani
Sasa naweza kumuuliza swali kwa hoja makini saana na kwa maandiko na yeye anijibu kwa hoja na kwa maandiko[emoji3]
Uone kama hajalala mbele[emoji3]
Sawa ndugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miss natafuta! Mwenzio ameolewa huku! Bado una mpango wa kutafuta sperm bank zilipo?
 
Hongereni sana maharusi! Hilo ndo agizo la mungu kwa wanadamu.na sio wale wanaopinga vita ndoa haliyakuwa hawajawahi kuolewa au kuoa hata Mara moja ktk historia ya maisha.
 
Back
Top Bottom