stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,226
- 5,147
[emoji1] [emoji1] Kamwe huwezi kumtenganisha fundi garage na lugha chafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Lkn fundi cherehani na fundi Saa wanaweza kutenganishwa[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] Kamwe huwezi kumtenganisha fundi garage na lugha chafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa UVCCM tangu A-level au chuo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yaan nam ndo nafikiria hapa ameupataje maana Kwa umri huo jmn m nilikuwa ndo namaliza chuo ambapo ni umri wengi wanaokuwa wanamaliza au anaemfahamu Bi harusi jmn
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo bila jambia,Harusi ndoa hakunailo jambia la nini tena?
au ni kichenjulia kipya cha makinikia?
Bibi harusi mbona humpi compliment zake mkuu, au hujamwona?Bwana harusi handsome... hongera kwao
Hehehe aisee! Why too harsh?Wacha maneno ya kama mfirwaji uislam unahusika nini hapo? Kama amevaa upanga au ana bundukibl ni yake muoaji.
Kamuulize mama yako babaako alipomuoa alivaa kondom au alipiga kavu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni ccm damu since o'level!Itakuwa UVCCM tangu A-level au chuo
Kuna wanaume wengi pangani mkuu! mbunge,mkurugenzi(W),katibu tawala(W), m/kiti wa halmashauri, wakuu wa Idara na raia wa kawaida.....wote hao akose kweli?Mume Dsm ,Mke Pangani asa sijui mke akiwashwa gafla nani atamkuna,
ee Mungu ee tupe roho ya kusamehe
Utakuwa unamjua vzuri, maana nakumbuka kwenye utambulisho wake pia alinena kitu hicho!Alikua mwenyekiti taifa wa wanaccm vyuo vikuu...
Lkn fundi cherehani na fundi Saa wanaweza kutenganishwa[emoji3]
Talaka ruksa but ina masharti magumu tofauti na unavyoichukulia poa poaNdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
aisee, safi sanaHuyo binti yuko bomba sana inaonyesha wazazi wake wamemlea katiza mazingira ya kidini maana ni msafi na anajistiri sana katika mavazi toka yuko shule.![]()
![]()
-Ndumilakuwili-
kibokoMake up inaitwa hayawi hayawi sasa yamekua
koh koh koh[emoji81] [emoji81] [emoji81][emoji23] [emoji23] [emoji23] akili zako unazijua mwenyewe
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Yaani si bure.. na wanawake wanavojua kujitoa ufaham[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yaan nam ndo nafikiria hapa ameupataje maana Kwa umri huo jmn m nilikuwa ndo namaliza chuo ambapo ni umri wengi wanaokuwa wanamaliza au anaemfahamu Bi harusi jmn
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mnavopenda dezo nyie.. wala hufikirii mara mbili.. ni kuvua tu 😀😀😀😀Siri ya kambi..... hahahaha
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.