Hatimaye Abdul Mohamed(Azam Sports) afunga ndoa na DC wa Pangani

Hatimaye Abdul Mohamed(Azam Sports) afunga ndoa na DC wa Pangani

Wacha maneno ya kama mfirwaji uislam unahusika nini hapo? Kama amevaa upanga au ana bundukibl ni yake muoaji.
Kamuulize mama yako babaako alipomuoa alivaa kondom au alipiga kavu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe aisee! Why too harsh?

brain is the beautiful part of the body.
 
Mume Dsm ,Mke Pangani asa sijui mke akiwashwa gafla nani atamkuna,

ee Mungu ee tupe roho ya kusamehe
Kuna wanaume wengi pangani mkuu! mbunge,mkurugenzi(W),katibu tawala(W), m/kiti wa halmashauri, wakuu wa Idara na raia wa kawaida.....wote hao akose kweli?

brain is the beautiful part of the body.
 
Huyo binti yuko bomba sana inaonyesha wazazi wake wamemlea katiza mazingira ya kidini maana ni msafi na anajistiri sana katika mavazi toka yuko shule.
32a1466f785910f4646b70e875d0f0b2.jpg
530551e5e2fed33615d514a520c7c3d8.jpg


-Ndumilakuwili-
 
Back
Top Bottom