Steven Nguma
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 1,074
- 1,147
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu ya kufanyia usafi msitu wa pandeilo jambia la nini tena?
au ni kichenjulia kipya cha makinikia?
Sijui kwa nn nimemuwazia mheshimiwa Do...g.ie!Hatimae mheshimiwa mkuu wa wilaya sasa ni mke wa mtu.
Miaka ya 2010-2011 bila shaka. Kidato cha nne
Alimaliza mwaka gani mkuu nami nilisoma hapoRemember this guy....tulisoma wote azania taifa kubwa... May Allah guide Him and his marriage
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo inavyokuwa Mkuu kizuri kinajiuza kibaya kinajitembeza au huoni humu manungaembe walivyojaa na thread za ajabu kila kukicha.Huyo binti yuko bomba sana inaonyesha wazazi wake wamemlea katiza mazingira ya kidini maana ni msafi na anajistiri sana katika mavazi toka yuko shule.![]()
![]()
-Ndumilakuwili-
Duh!!!Ndo inavyokuwa Mkuu kizuri kinajiuza kibaya kinajitembeza au huoni humu manungaembe walivyojaa na thread za ajabu kila kukicha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Hpn.na
Sasa ulitaka awe wa ajabu?Hahahaha hahahahahha hakuna sio mzur banaaa mmm nakaataaa siko kuwa wivuu hapanaa bi halus wa kawaidaaaaa sanaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 560658 View attachment 560656 View attachment 560655
Naona bwana Mdogo Abdul Mohamed,General Manager wa Azam Sports Club ameachana na ukapela na hatimaye kufunga ndoa na Mkuu wa Wilaya ya Pangani Bi.Zainabu Abdalah!!
Make up ya Bibi Harusi ipo Ok kabisa...Hakuna matata