Mgawanyo wa mali na matunzo kwa watoto ni lazima mzee.Ila utakuwa na uhuru wako wa kuendelea kula pisi za kwa Mpalangekama ulikuwa haujui.huyo amekwenda mahakamani sababu wagawane Mali.
Sio kuachana
Mgawanyo wa mali na matunzo kwa watoto ni lazima mzee.Ila utakuwa na uhuru wako wa kuendelea kula pisi za kwa Mpalange
Hizo hizo alozonazo, mzeeSasa huyo Ben pol ana Mali gani za kugawana na anerlisa?
Kuna Mali yyte walichuma pamoja Kwa miez kumi walioishi?
Hakuna Mali yyte ya maana waliyochuma pamoja , Benpol anatapa tapa Tu , katangaza maji ya demu BureeeHivi unajua mahakamani ilivyo?.
Lazma hicho kipengele kitakuwepo.
Na hapo NDIPO BEN POL ANAPOPATAKA.
lazma waulizwe hayo Mambo.
Sisi tunaojua haya Mambo tumeshajua target yake.
Anerlisa alivyokuwa na tako vile unaanza vipi kwenda mahakamani kudai talaka?
Hakuna Mali yyte ya maana waliyochuma pamoja , Benpol anatapa tapa Tu , katangaza maji ya demu Bureee
π π πYaani huyu ndugu yake NDUGAI ametudhalilishaaa[emoji17][emoji17][emoji17].
Mwanaume unadai vipi talaka?
Anawabandua kwa hela yake! π€£ π€£ π€£Uyo Anerlisa anapenda wanaume tata au yeye ndo anaewabandua nini!!!
Hakuna cha mahakama wala nini , Mali zote za Anerlisa zipo organized kifamilia , na Benpol kazikuta , labda vikombe na vijiko walivyonunua pamoja ....Mambo ya mahakamani NI magumu.
Lakini Ben pol hyo NDO target yake.MALI ZA YULE DEMU.TUSUBIRI TUONE
Umeongea ka wazee kumi vile! π€£ π€£ π€£Ukipiga mashine vizuri ata ukimtemea makoozi hadharani hakuachi, kuna kitu huyo boya hakiwezi na anakwama
Hakuna kitu atapata pale cha maana, mali zote zile za yule mwanamama na familia yake. π π πMambo ya mahakamani NI magumu.
Lakini Ben pol hyo NDO target yake.MALI ZA YULE DEMU.TUSUBIRI TUONE
π π πYule ndio mjinga wa mwisho alipropose kwa demu halafu linalia lenyewe fala kweli. Kutwa kucha kumsifia mke wake watu wanamuangalia tu. Nahisi kuna watu wamemshika sikio wamemwambia kausha watu washapiga sana kwanza unampa promo wajanja watakubebea fasta.
Baada ya ku slim. Huyo Ben pol angekubali kumchukua ingiwe wakati huo akiwa dubo dubo, asingedhubutu. Lakini mdada amebadilika, ana mauzo kwa Pol, hivi huwa anaziangaliaga hizo foto za zamani zake? π π π πAiseee
Hivi Ben Pol alifunga naye ndoa kabla au baada ya kuslimu?
Sa hv anauzika kila mmoja anatamani kumpiga paipu , kipind yupo tipwa tipwa ilikuwa Noma Wana walikuwa wanakula wingaBaada ya ku slim. Huyo Ben pol angekubali kumchukua ingiwe wakati huo akiwa dubo dubo, asingedhubutu. Lakini mdada amebadilika, ana mauzo kwa Pol, hivi huwa anaziangaliaga hizo foto za zamani zake? π π π π
π π πKwa hiyo unataka kusema Anerlisa ni shemale ama?! Ila wabongo siwawezi π€£π€£π€£
Mali gani, aliikuta hapo! π€£ π€£ π€£Kwa hiyo wanagawana mali? Benpol ashatoka kimaisha..
Kweli! π€£ π€£ π€£Sa hv anauzika kila mmoja anatamani kumpiga paipu , kipind yupo tipwa tipwa ilikuwa Noma Wana walikuwa wanakula winga
Huwa najaribu kuikubali na kuielewa hiii ila shida nina kamoyo kadogo kama punje ya UleziHuku pwani tunasema "mwanamke anaazimwa" hakuna mke wa peke yako, jifunze kuwa na moyo ya kiume ili uweze kudumu kwenye mahusiano.
[emoji38][emoji38]Baada ya ku slim. Huyo Ben pol angekubali kumchukua ingiwe wakati huo akiwa dubo dubo, asingedhubutu. Lakini mdada amebadilika, ana mauzo kwa Pol, hivi huwa anaziangaliaga hizo foto za zamani zake? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]