Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kwa kweliYani amzalishe, amuache, aende akafunge ndoa na mwanamke mwingine, yamshinde huko kwenye ndoa yake, aombe talaka, apewe halafu amrudie mzazi mwenzie [emoji848][emoji848][emoji848]. Labda kama huyo mzazi mwenzie yuko desperate, ila kama ni dada anayejielewa hawezi kukubali upuuzi na dharau za hivyo
Hahaah ila kweliYani amzalishe, amuache, aende akafunge ndoa na mwanamke mwingine, yamshinde huko kwenye ndoa yake, aombe talaka, apewe halafu amrudie mzazi mwenzie [emoji848][emoji848][emoji848]. Labda kama huyo mzazi mwenzie yuko desperate, ila kama ni dada anayejielewa hawezi kukubali upuuzi na dharau za hivyo
wagogo wanatia sana aibu kwa kweli,wanaliaibisha taifa.
Life is too short to take bad wine.
Acha afanye kinachompa Furaha.
We never know alikuwa anapitia nini.
Uyo Anerlisa anapenda wanaume tata au yeye ndo anaewabandua nini!!!
Madawa labda na plastic surgery.Hee[emoji134]
Mbona amebadilika!
AiseeeMadawa labda na plastic surgery.
Kusilimu kulikuja baada ya ndoa, tena wakati tetesi za kuachana kwao zimeshaanza.Aiseee
Hivi Ben Pol alifunga naye ndoa kabla au baada ya kuslimu?
DuhKusilimu kulikuja baada ya ndoa, tena wakati tetesi za kuachana kwao zimeshaanza.
Duh!nomaTena wa Bahi-Dodoma.
Hizi sheria za TZ bwana mpaka mahakamani? hizi biashara zinatakiwa kuishia kwa wakili tu. hakuna haja ya ndoa za kupotezeana muda namna hii.Hatimaye mwanadada mrembo na mfanya biashara maarufu tokea pande za +254 amefunguka na kudai ameshasaini kila kitu kilichomtaka yeye kufanya hvyo , na Kwa sasa anachoangalia yeye ni biashara zake na sio kitu kingine......
Ben Pol na Anerlisa walifunga ndoa mwishoni mwa mwezi mei mwaka 2020 kwenye kanisa la St Gaspar jijini Dar es salaam na mapema mwez huu Ben Pol aliwasilisha Hati ya kuomba Talaka toka Kwa mke wake huyo katika mahakama moja jijini Dar es salaam ( jina kapuni)....
Hvi majuzi kamera za mapaparazi zilimnasa mrembo Anerlisa akiwa kwenye viunga vya jiji la Dar es salaam na bila Shaka alitua kukamilisha swala Hilo ...
View attachment 1766713
Katika hatua nyingine , kuna tetesi na nyepesi nyepesi zinazodai kuwa Ben Pol amemtuhumu nyota wa bongo fleva na Mla bata maarufu mjin Omy dimpoz , almaarufu kwa jina la Omy Kwa Poz kuwa anatoka na Mke wake huyo, na huenda ni moja ya sababu ya Ben Pol kuamua kujikata, huku akionesha kumponda Omy dimpoz ya kwamba hana kizazi.
View attachment 1766766
Hukuona mwakajana alitia nia ya kugombea huko [emoji1787]Duh!noma
Watakutwanga rungu! OhooSiwaogopi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi Ben Pol ana kiwango gani Cha elimu?
Life is too short to take bad wine.
Acha afanye kinachompa Furaha.
We never know alikuwa anapitia nini.
Amen Dear.Mahusiano yana mambo mengi sana
Kuvunja mahusiano ya ndoa sio maamuzi madogo na yanaumiza sanaaaa... na ukiona imefikia hapo hiyo ndoa ilishakufaga na upendo wake wote
Inauma ila kwao Ben na Ane wamekua wakweli kwa nafsi zao na kuchagua amani ya mioyo yao
Mungu awape watoto wetu roho ya kuomba na kumshirikisha Mungu kwenye kuchagua wenza wao
Mnajuaje kama huyo dada ndo kalipiga kalunguyeye penzi la Ben Pol na Anerlisa ili kibenten arud kwake 😋Kwa kweli
Kwamba yeye huyo dada ni kimbilio la wakosefu??[emoji1787]
Mwanaume kama huyo hastahili kunusisha hata pua yake kwa huyo mwanamke.
Naunga mkono hoja,Wagogo hakuna kitu kabisa.
Amen Dear.
Halafu the earlier the better.
Sio mnazaa na watoto ndo mnaanza friction kibao.
Angeenda kwa ndugai akachezee vitasaHukuona mwakajana alitia nia ya kugombea huko [emoji1787]
Hata Job naye hana akili ujue.. Aisee naunga mkono hoja😆😆😆Mimi siyo mbaguzi.
Ila kiukweli sijawahi kuona mgogo mwenye akili ya maana.