Hatimaye bondia kutoka Ufilipino avalishwa gloves zenye rangi ya bendera ya Tanzania ya jiwe Tanzania ya viwanda

Basi kama ni hiyo, wote tukubaliane huu mchezo mashabiki tutafute sheria na kanuni zake tuzisome make kwetu hapa ni mpya. Ila nauona utakuwa mbadala wa haya Ma-simba na Yanga.
Kwa suala la kupigwa mwakinyo kapigwaila kwa issue ya point mwakinyo kapata point nyingi maana ana ngumi nyingi ambazo amepiga usoni kuliko mphilipino
 
Pambano lenyewe lilikuwa bovu, walilipromote sana, then limekuwa baya!
 
Naona wana CCM wakimtetea mwakinyo kwa kasi sana hapa JF?Kwanini?
 
ukidondoshwa ndio mshindi
Hakudondoshwa kwa punch.
Alikwepa. akakosa balance, akasukumwa kidongo akateleza na kuanguka ndio maana hakuhesabiwa hadi 10 na refa.
Hii ni chuki kwa mbongo mwenzenu au hamjui boxing?
 
Nikweli unachosema, ila nawewe inabidi ukubaliane na perception yetu kwenye gemu la leo.

Mchizi kachezea vikombe tuache masihara.
 
Hakudondoshwa kwa punch.
Alikwepa. akakosa balance, akasukumwa kidongo akateleza na kuanguka ndio maana hakuhesabiwa hadi 10 na refa.
Hii ni chuki kwa mbongo mwenzenu au hamjui boxing?

Ww kama jafo kabisa kapigwa mbongo
 
Nikweli unachosema, ila nawewe inabidi ukubaliane na perception yetu kwenye gemu la leo

Mchizi kachezea vikombe tuache masihara
Kachezea ila point kachukuwa Home boy nadhani ilikuwa raundi ya 7 Mwakinyo alifanya makosa KO ilikuwa nje nje kelele zote zingeisha.
 
Mimi nimeleta mada ili wajuzi wa mchezo huu waichangie kwa jinsi utaratibu ukivyoo juu ya mchezo huu.

Alafu kama ulikuwa ukitazama Azam sport tv 2 Upande wa watangazaji mchambuzi alikuwepo Matumla nayeye katika uchambuzi kama mhusika katika huu mchezo mpaka unaisha ameonyesha wazi Mwakinyo kuzidiwa.

Alafu baada ya raundi ya 10 kukamilika Tinampay alishangilia kwa kupanda juu ya jujwaa huku Matumla akisema tayari kashinda Tinampay.

Na wakati waliopambana wananyanyuliwa mikono unaweza kuona Tinampay akishangilia
Ww utakua ccm wewe mwakinyo kabebwa
 
Mnao sema Mwakinyo kabebwa sasa mlitakaje wakati yupo kwao, acheni hizo.

Taifa stars yenyew ndo hiyo kila siku kutupa presha, WaTZ tuamie kwenye ndondi sasa.
 
Mwakinyo kashinda kwa point kosa la mpinzani wake nikwamba alikua anapiga ngumi za tumbo lkn Mwakinyo alikua anapiga za usoni ambazo zilimpatia point nyingi.
 
Ha ha ha ha Muacheni huyo mphilipino akaeleze kuwa tuna demokrasia [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana huwa hawatuelewi vizuri.... Anae jua ki philipino anisaidie kueleza "Bao la mkono"
 
Vp kwani kunaweza kuwa na pambano la marudiano labda mwakinyo akatakiwa kwenda uphilipino
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…