jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
Si kila sheli utaweka mafuta tu.Tatizo sugu lilikuwa ni nini mkuu?
Usirogwe kuweka mafuta ya kidebe sjui lita 5 au ya buku 10 sjui
Service yake ikifika hela utayoweka mezan ni ya kununua boxer used
Spear ndo unaweza ifunika na turubai