Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

miAFRICA ni miJITU miPUMBAVU sana inapoishiwa Hoja inahamia kwenye uDINI na UKANDA [emoji16] [emoji16]
 
WATU WA USALAMA HAWAWEZI KUKWEPA LAWAMA ZA KUMUACHA SAULI HADI AMEGOMBEA ....HUYU ANGECHUJWA .....kama akiwa waziri tu alihamisha barabara, akainfluence kumegwa wilaya toka Kagera ......na kuwa makao makuu ya wilaya kwenye nyumba "zake"[ akiwa ameagiza zijengwe nyumba ili ziwe makao makuu ya wilaya ]......isitoshe tu hiyo kuweka traffic lights sehemu ambazo hata hizo gari za kuhesabu ....
Walikuwa wapi wasione hizi dalili za ubinafsi ....
 
Kwani

Wabunge wa Upinzani na Community yote ya Wapinzani mbona wamekaa kimya? Yetu macho na masikio. Hivi hapo Chato kila mkazi ana Maji safi ndani, hospital, shule,Na nyumba bora?
Mangapi waliyasimamia Mkashindwa kuwaunga Mkono zaidi ya kuwakejeli tu
 
Wapinzani wanatoka Sayari gani?,,.ikiwa wewe uko nyuma ya Keyboard
 
Watu wanaharibu mjadala na ku provoke ukanda wakati ....hawajui historia ...UWANJA WA NDEGE WA KIA UMEKAMILIKA 1967 kwa maslahi ya Taifa letu changa kuhakikisha watalii wanafika kupanda mlima ..na pia kutoa ushindani na kuacha utegemezi kwa viwanja vya Nairobi
Ukarabati wa uwanja wa KIA ni kwa mkopo nafuu wa serikali ya Netherland ambao ndege zao za KLM ndio kati ya watumiaji wakuu wa uwanja huo kuleta watalii na kubeba mauwa .........wenzetu hawato hivi hivi ..
KADCO pia management yake intake Netherland so hiyo connection nyingine .......kampuni inayojenga uwanja pia ni ya Netherland

Uwanja wa Mwanza umevutia serikali ya KUWAIT kutoa mkopo na serikali YETU inatakiwa kuchangia sehemu yake ili uwanja uishe ...sasa hiyo pesa ya chato kwanini wasinge push kwanza mwanza ukalimilike na angalau songwe ..

Dharura pekee inayokubalika ni ya dodoma airport .......lakini pia kwakuwa ni mpango wa muda mfupi nguvu wangeweka MSALATO INTERNATIONAL AIRPORT [proposed]
 
Kilimanjaro International Airport (KIA) (IATA: JRO, ICAO: HTKJ) is an international airport in northern Tanzania that serves the cities of Arusha and Moshi. ... The airport bills itself as the "Gateway to Africa's Wildlife Heritage"je ni kweli Wildelife heritage iko mOSHI na Arusha tu?
 
Hao funza uliowafuga kichwani kwako ni wabaya kwa afya yako na jamii inayokuzunguka.
 
Hili tukio, vizazi vyetu vijavyo vitabidi vifukue kaburi na kuihoji maiti kwanini ilichukua maamuzi hayo ya kuharibu rasilimali za watanzania kwa faida yake binafsi.
Hukumu yake ni vizazi vyake vya pili vitakayo ibeba
 

Kiswahili tu kikitumika kuwaelimisha huwa hawaelewi,sasa kwa lugha hii uliyoitumia ndo kabisaa umewapa 'EXCUSE'.
 
Ikiwezekana hata uwanja wa mpira wa kisasa pale kwa Mazaina
Ta Kamugisha hawa watu wengine wanafikiri international airports, viwanja vikubwa vya mpira, hospitali za rufaa n.k ni vya watu wa majiji tu, vikijengwa mikoani ni kuharibu fedha,
nonsense!!
 

Mbuga ziko sehemu nyingi hadi Selous .....kupanga ni kuchagua huo mwaka 1967 ulipojengwa wangeweza pia wakaamua kuujenga chato ...
kama ambavyo sasa tumechagua kumalizia wa chato kabla ya wa MWANZA
 
Mbuga ziko sehemu nyingi hadi Selous .....kupanga ni kuchagua huo mwaka 1967 ulipojengwa wangeweza pia wakaamua kuujenga chato ...
kama ambavyo sasa tumechagua kumalizia wa chato kabla ya wa MWANZA
Hivi uwanja wa Mwanza umesimama...?!
 
Ta Kamugisha hawa watu wengine wanafikiri international airports, viwanja vikubwa vya mpira, hospitali za rufaa n.k ni vya watu wa majiji tu, vikijengwa mikoani ni kuharibu fedha,
nonsense!!
Wauni hawa hacha nao, unaweza sikia hata mungu ni wao peke yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…