Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

Majungu tu, kwani chato wanakaa nyani? Kwani lazima ndege zote wapande watalii? Hacheni ubwe.ge kwani chato ipo sudan?
maana halisi ya neno kipaumbele ni jambo lililo la muhimu zaidi kuliko mengine je kwa mtazamo wako na kwa uzalendo kabisa kabisa jambo hilo laweza kuwa hili??
 
Chato

Chato town, population = 17,508. Chato district population = 365,000

Economic activitiy = nothing significant apart from subsistence farming which depend on rain. Contributes less than 1 percent to the GDP.
Tourist attractions = none

At the same time Songwe airport, the main airport serving the southern highlands, an area with more than 5 mil people and also being the bread basket of Tanzania doesn't have runway lights till today!

Mwanza airport yenyewe upanuzi wake has been going on at such a slow pace for the past 2 years and at times even stalled!

We are willing to spend billions on someone's vanity project ambayo will generate nothing in return and adds little value, lakini tunaache sehemu where the money would have been better spent.

A small airport would have been fine, lakini sio kujenga an airport with a runway that could almost "rival" JNIA, at a town/district with a population lower than some suburbs in Dar.

Someone needs to look at themself in the mirror and reevaluate the choices they have been making so far.
It has always been a bad idea/choice, and it will ever be.

We have to choose priorities a bit better....... Improving the Rubondo airport to a better standard, just, could suffice the area for all the reasons mentioned.
Bad choice forever. Just selfishness, nothing more.
 
Kwani bajeti ya huo uwanja ni shilingi ngapi?
Bajeti wamechukua ya uwanja uliokuwa ujengwe Kagera, ni ubinafsi tu.
Nakumbuka mwezi wa April 2017, kama ilishapelekwa 42b tena bila idhini ya bunge... Sina uhakika mzuri.
 
Hv mbona wasukuma wamekuwa watu wa ajabu sana? Kweli Tanzania tumefikia hapa kwasababu ya huyu mtu,chuki yote ya nini na watu wa kaskazini?
 
  • Chato Airport itazinduiwa April 2017; sasa tunaelekea April 2018 hakuna dalili za kuzindua uwanja huo, bado tumuamini mleta uzi?
  • Kuna vigezo vingi vya kufikiria kufanya investment decisions, mleta uzi anazungumzia kigezo cha utalii peke yake kuwa ndio kitumike kufanyia uamuzi wa kujenga viwanja vya ndege, bado tumuamini mleta uzi?
  • Mwandishi wa habari Stanley Katabaro (apumzike kwa amani) alikuwa akiishi Buguruni alipohamia akitokea Morogoro akiwa tayari mhanga wa UKIMWI. Familia, ndugu na marafiki zake kama Ndimara Tegambwage walijua na wanaendelea kuamini kuwa kifo chake kilitokana na maradhi hayo, badala ya conspiracy theory, mleta uzi anataka tuendelee kuamini kwenye siasa za maji taka za enzi hizo (1992-1995) zikihusha Loliondo, TAHI, waziri Abukar Mgumia (huyu sijui iwapo bado anaishi), waziri Abdurrahman Kinana, Rais Mwinyi and Co., bado tumuamini mleta uzi?
Ifike wakati tujishikie akili yetu sisi wenyewe.
 
  • Chato Airport itazinduiwa April 2017; sasa tunaelekea April 2018 hakuna dalili za kuzindua uwanja huo, bado tumuamini mleta uzi?
  • Kuna vigezo vingi vya kufikiria kufanya investment decisions, mleta uzi anazungumzia kigezo cha utalii peke yake kuwa ndio kitumike kufanyia uamuzi wa kujenga viwanja vya ndege, bado tumuamini mleta uzi?
  • Mwandishi wa habari Stanley Katabaro (apumzike kwa amani) alikuwa akiishi Buguruni alipohamia akitokea Morogoro akiwa tayari mhanga wa UKIMWI. Familia, ndugu na marafiki zake kama Ndimara Tegambwage walijua na wanaendelea kuamini kuwa kifo chake kilitokana na maradhi hayo, badala ya conspiracy theory, mleta uzi anataka tuendelee kuamini kwenye siasa za maji taka za enzi hizo (1992-1995) zikihusha Loliondo, TAHI, waziri Abukar Mgumia (huyu sijui iwapo bado anaishi), waziri Abdurrahman Kinana, Rais Mwinyi and Co., bado tumuamini mleta uzi?
Ifike wakati tujishikie akili yetu sisi wenyewe.


Kwa hiyo mtu akiugua UKIMWI hawezi kuuwawa?
 
town/district with a population lower than some suburbs in Dar
Sasa ndugu yangu, hivi hao wakaazi wa Buguruni, Kipawa, au Ukonga, hata wangekuwa milioni 10, wanaoishi karibu na JNIA, wanaongeza thamani gani katika uwanja huo? Uchumi wa airport ni converging design. Yaani unaleta rasilimali kutoka duniani/nje ya nchi kuingia nchini. Airport economy hakusudii kuwabeba wakaazi wa eneo lile (diverging design) kuwapeleka sehemu nyingine duania, kwa mfano, kama ilivyokuwa enzi za mataifa ya Ulaya kutafuta makoloni. We need to deliver notions that work.
 
Kwa hiyo mtu akiugua UKIMWI hawezi kuuwawa?
Wewe vipi, ondoka kwenye hisia, zungumza sayansi. Marehemu aliugua na kisha kufariki, japo aliendelea kunadika Makala zake kwenye gazeti Mfanyakazi hadi week 2 kabla ya kufikwa na mauti. The rest is history.
 
Wewe vipi, ondoka kwenye hisia, zungumza sayansi. Marehemu aliugua na kisha kufariki, japo aliendelea kunadika Makala zake kwenye gazeti Mfanyakazi hadi week 2 kabla ya kufikwa na mauti. The rest is history.


Nilimfahamu Stan personally thats why. Naomba ujibu hoja yangu. Je mtu akiugua UKIMWI hawezi kuuwawa?
 
Nilimfahamu Stan personally thats why. Naomba ujibu hoja yangu. Je mtu akiugua UKIMWI hawezi kuuwawa?
Mhh, wewe uliishi naye Morogoro kwenye sawmill au Gazeti la Mfanyakazi na akina James Nhende (rip), Kagombora (rip)?
 
kinachosikitisha
Mnaweza kuweka uchambuzi mzuri sana ila ukakosa mashiko kwa kuwa tu una lengo la kiitikadi zaidi.

Mimi huwa najiuliza, je suppose tungechagua huko, kwa bahati mbaya sana umeshindwa kujiendesha wenyewe mkaamua kuturudishia walewale waliokimbia huku baada ya kukatwa je mngeweza kutujengea nchi kweli?, au mngeishia kuandika uchambuzi kama huu wakati mkishuhudia barabara ya Chalinze-Moshi ikiwekwa 4 ways, na kiwanja kama hicho cha chato kikijengwa Hai au Monduli?

Maana wenzetu wa upinzani mmekuwa mabingwa ya kuchambua msivyoviweza, mmekuwa wazuri theoretically but you are not practically oriented, mambo yenu mengi yanakwenda kinyume lakini kwa vile kafanya yule, basi you keep quite kama vile hamuoni huku ukisubiri uongee likifanyika upande wa pili.

Kaskazini ilijengeka mapema kwavile watu wa kaskazini walipata fursa, wakakumbuka kwao ili wapate kwenda mapumzikoni kila mwaka, sasa acha fursa zinapopatikana sehemu zingine basi wazitumie fursa hizo, huku mkiwa wavumilivu mkisubiri 2020 ,
sanasana sana ni kwanza kuanza kuyatafakari mambo makubwa katika nchi yetu kwa mtazamo wa itikadi ya kivyama. mtoa mada kajadili kiuchumi zaidi, mwingine hapa kaja kisiasa zaidi. SIJUI TUTAFIKA WAPI KATIKA KUIJENGA TZ YETU!!!!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Katika fiscal year 2017/2018 Bunge lilitenga bilioni 2 tu lakini DU kishajichotea zaidi ya bilioni 350 kwa gharama za uwanja huo bila idhini ya Bunge na contractor ni kampuni yake ambaye anazuga kama vile ya Mkoromije mwenzie.

Kwani bajeti ya huo uwanja ni shilingi ngapi?
 
Back
Top Bottom