Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

Majungu tu, kwani chato wanakaa nyani? Kwani lazima ndege zote wapande watalii? Hacheni ubwe.ge kwani chato ipo sudan?
maana halisi ya neno kipaumbele ni jambo lililo la muhimu zaidi kuliko mengine je kwa mtazamo wako na kwa uzalendo kabisa kabisa jambo hilo laweza kuwa hili??
 
Mkuu barafu leo karibu miaka 2 thread bado inasomeka ni tetesi au ulikuwa unamaanisha April ya mwaka gani.
Mkuu thread hii ndio ilifanya uwanja huo uendelee kujengwa kimyakimya na habari zake kuthibitiwa sana ktk vyombo vya habari
 
It has always been a bad idea/choice, and it will ever be.

We have to choose priorities a bit better....... Improving the Rubondo airport to a better standard, just, could suffice the area for all the reasons mentioned.
Bad choice forever. Just selfishness, nothing more.
 
Kwani bajeti ya huo uwanja ni shilingi ngapi?
Bajeti wamechukua ya uwanja uliokuwa ujengwe Kagera, ni ubinafsi tu.
Nakumbuka mwezi wa April 2017, kama ilishapelekwa 42b tena bila idhini ya bunge... Sina uhakika mzuri.
 
Hv mbona wasukuma wamekuwa watu wa ajabu sana? Kweli Tanzania tumefikia hapa kwasababu ya huyu mtu,chuki yote ya nini na watu wa kaskazini?
 
  • Chato Airport itazinduiwa April 2017; sasa tunaelekea April 2018 hakuna dalili za kuzindua uwanja huo, bado tumuamini mleta uzi?
  • Kuna vigezo vingi vya kufikiria kufanya investment decisions, mleta uzi anazungumzia kigezo cha utalii peke yake kuwa ndio kitumike kufanyia uamuzi wa kujenga viwanja vya ndege, bado tumuamini mleta uzi?
  • Mwandishi wa habari Stanley Katabaro (apumzike kwa amani) alikuwa akiishi Buguruni alipohamia akitokea Morogoro akiwa tayari mhanga wa UKIMWI. Familia, ndugu na marafiki zake kama Ndimara Tegambwage walijua na wanaendelea kuamini kuwa kifo chake kilitokana na maradhi hayo, badala ya conspiracy theory, mleta uzi anataka tuendelee kuamini kwenye siasa za maji taka za enzi hizo (1992-1995) zikihusha Loliondo, TAHI, waziri Abukar Mgumia (huyu sijui iwapo bado anaishi), waziri Abdurrahman Kinana, Rais Mwinyi and Co., bado tumuamini mleta uzi?
Ifike wakati tujishikie akili yetu sisi wenyewe.
 


Kwa hiyo mtu akiugua UKIMWI hawezi kuuwawa?
 
town/district with a population lower than some suburbs in Dar
Sasa ndugu yangu, hivi hao wakaazi wa Buguruni, Kipawa, au Ukonga, hata wangekuwa milioni 10, wanaoishi karibu na JNIA, wanaongeza thamani gani katika uwanja huo? Uchumi wa airport ni converging design. Yaani unaleta rasilimali kutoka duniani/nje ya nchi kuingia nchini. Airport economy hakusudii kuwabeba wakaazi wa eneo lile (diverging design) kuwapeleka sehemu nyingine duania, kwa mfano, kama ilivyokuwa enzi za mataifa ya Ulaya kutafuta makoloni. We need to deliver notions that work.
 
Kwa hiyo mtu akiugua UKIMWI hawezi kuuwawa?
Wewe vipi, ondoka kwenye hisia, zungumza sayansi. Marehemu aliugua na kisha kufariki, japo aliendelea kunadika Makala zake kwenye gazeti Mfanyakazi hadi week 2 kabla ya kufikwa na mauti. The rest is history.
 
Wewe vipi, ondoka kwenye hisia, zungumza sayansi. Marehemu aliugua na kisha kufariki, japo aliendelea kunadika Makala zake kwenye gazeti Mfanyakazi hadi week 2 kabla ya kufikwa na mauti. The rest is history.


Nilimfahamu Stan personally thats why. Naomba ujibu hoja yangu. Je mtu akiugua UKIMWI hawezi kuuwawa?
 
Nilimfahamu Stan personally thats why. Naomba ujibu hoja yangu. Je mtu akiugua UKIMWI hawezi kuuwawa?
Mhh, wewe uliishi naye Morogoro kwenye sawmill au Gazeti la Mfanyakazi na akina James Nhende (rip), Kagombora (rip)?
 
kinachosikitisha
sanasana sana ni kwanza kuanza kuyatafakari mambo makubwa katika nchi yetu kwa mtazamo wa itikadi ya kivyama. mtoa mada kajadili kiuchumi zaidi, mwingine hapa kaja kisiasa zaidi. SIJUI TUTAFIKA WAPI KATIKA KUIJENGA TZ YETU!!!!!!!!!
 
Reactions: BAK
Katika fiscal year 2017/2018 Bunge lilitenga bilioni 2 tu lakini DU kishajichotea zaidi ya bilioni 350 kwa gharama za uwanja huo bila idhini ya Bunge na contractor ni kampuni yake ambaye anazuga kama vile ya Mkoromije mwenzie.

Kwani bajeti ya huo uwanja ni shilingi ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…