Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

Hii sijui niite .Chato ina economical potential ipi zaidi ya wasukuma wenye baiskeli ya phonex..tatzo hii serikali kama arsenal..hawana form..wanafanya jambo moja zuri linafuatiwa mambo saba ya kipumbavu kuwahi kutokea.


Hii imeniudhi kwakwli..
Zuri ni lipi ?
 
Nyuma ya pazia huu uwanja wa ndege utatuinua kiutalii sisi wa kanda ya ziwa magharibi
 
Chato International Airport ni project ya hovyo hovyo iliyo fanywa kwa kumuogopa Rais Magufuli
Why ilijengwa chato wakati mwanza kuna airport?
Ukianhalia kitaalam it doesnt make sence...

Inaonekana kuna mihemko ya mtu fulan kutaka kuwajengea wananchi wake airport wakati hao hao wananchi wenyewe ni asilimia ndogo sana wenye uwezo wa kupanda ndege. Sana sana watakuwa wanapiga picha tu
 
Majungu tu, kwani chato wanakaa nyani? Kwani lazima ndege zote wapande watalii? Hacheni ubwe.ge kwani chato ipo sudan?
Wanja wa ndege unajengwa sehem inauoonekana inaingizia nchi pato kubwa. Angalia viwanja vya ndege vingi nchini... vipo pale sababu kuna vichocheo vya kibiashara...

Unaenda kujenga uwanja wa ndege chato, sawa, kuna vichocheo gani pale? Haya itasema ni watu..

Kwa jamii iyoishi chato, wenye uwezo wa kupanda ndege ni wachache mno.. wengine watakuwa wanaziangalia tu.
Be wise man... dont be dumb
 
Lini hii airport yetu pendwa itafunguliwa?

Nani atakuwa mgeni rasmi siku hiyo?

Naomba siku ya ufunguzi, tupewe mapumzuko ili kusudi tupate muda wa kutosha wa kufatilia na kushuhudia tukio hilo la kihistoria.
 
CHATO IS WHITE ELEPHANT PROJECT
 
Mbona faida za kuwepo uwanja wa Chato zimezungumzwa mara kadhaa humu JF?
 
Hivi kagera kumbe inapakana na kenya na sudani kusini. Nilikuwa sijui hili
Mwanza sio center ya eac states bhana...that should be kagera....which boarders all said states..labda kama kigezo chako ni kuwa kalibu na serengeti
 
Chato inajengwa airstrip ya kawaida kabisa kama iliyopo seronera kule Serengeti.

Kule chato ni karibu kabisa na Rubondo island national park, kuna umuhimu mkubwa kabisa wa kuwa na uwanja huo.

SERA ZIMEKOSEKANA UKAWA.
sasa imebaki kukaa kwenye ofisi na kuchambua hotuba za magufuli.
Then mnakuja na utumbo wenu kila uchao...shame on all of you!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…