Hatimaye cheka achekeshwa chozi India

Hatimaye cheka achekeshwa chozi India

Yule Bondia wetu NGUMI MKONONI na mbabe babe toka Mji Kasoro Bahari pale MORO achezeshwa akadumba pale Nchini INDIA [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Ni Round ya 3 baada ya kupewa ngumi zenye akili akanyoosha Mikono JUU [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]

POLE SANA Bondia wetu, kipigo ulicho pewa ni kipigo kwa JPM

[HASHTAG]#FreeMaxMello[/HASHTAG]
inahusu nini sasa kusema huo upuuzi wako hapa
 
Yule Bondia wetu NGUMI MKONONI na mbabe babe toka Mji Kasoro Bahari pale MORO achezeshwa akadumba pale Nchini INDIA [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Ni Round ya 3 baada ya kupewa ngumi zenye akili akanyoosha Mikono JUU [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]

POLE SANA Bondia wetu, kipigo ulicho pewa ni kipigo kwa JPM

[HASHTAG]#FreeMaxMello[/HASHTAG]

Mabondia wengi wa Tanzania wana Tabia ya kuuza mechi hasa wakiwa nje, unakuta Bondia wa Tanzania akipigana pambano kama hilo anapewa labda dollar 10000, lakini akikubali kupigwa anapewa 15,000.00 wengi wanakubali kupigwa, nimeipata hii kutoka kwa jamaa yangu Bondia majuzi tu alikuwa ulaya na aliombwa akubali kupigwa ili asimvunjie hadhi bondia wa nyumbani na pia kuna wacheza kamali waliowekeana dau

We chunguza wote wanapigwa round ya tatu
 
Mabondia wengi wa Tanzania wana Tabia ya kuuza mechi hasa wakiwa nje, unakuta Bondia wa Tanzania akipigana pambano kama hilo anapewa labda dollar 10000, lakini akikubali kupigwa anapewa 15,000.00 wengi wanakubali kupigwa, nimeipata hii kutoka kwa jamaa yangu Bondia majuzi tu alikuwa ulaya na aliombwa akubali kupigwa ili asimvunjie hadhi bondia wa nyumbani na pia kuna wacheza kamali waliowekeana dau

We chunguza wote wanapigwa round ya tatu
inawezekana mkuu
 
Nadhani alipata na tatizo!,maana sikuona ngumi yoyote kali aliyopigwa!,mabondia wetu wapuuzi,hukubali kupigwa Ili kupandisha chati ya mabondia wa nje kwa kulipwa visenti kidogo...pumbavu.
 
Back
Top Bottom