Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
aaahh!wapi Dk anakuelewa kwa nje tu na viungo Ila hawezi kuelewa hisia zako na hulka zako za kiasiliHiyo kazi ya kuwaelewa wanadamu tuwaachie madaktari.....ukishajielewa wewe mwenyewe tu inatosha.....furahia maisha.....