Hatimaye David Kafulila akabidhi ofisi, aendelea kusisitiza Rais Samia hakamatiki utekelezaji wa Ilani, amtaja kuvunja rekodi ya miaka 20 kwenye maji

Kapumzike nyambafu weye. Uliwatesa sana watumishi
 
Hayo maelezo angeandika warka juu ya mipango aliyokuwa nayo ampe ofisi,kuongea hkufanyi aonewe huruma.
 
Hayo maelezo angeandika warka juu ya mipango aliyokuwa nayo ampe ofisi,kuongea hkufanyi aonewe huruma.
Maelezo gani? Kafulila anaowajibu wa kumsemea Mama kama ilivyo kwa wanachama wengine
 
Sure
 
β€œTumbili hawezi kuamua mambo ya porini......”
 
Kafulila tumemmis Sana aise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…