Hatimaye David Kafulila akabidhi ofisi, aendelea kusisitiza Rais Samia hakamatiki utekelezaji wa Ilani, amtaja kuvunja rekodi ya miaka 20 kwenye maji

Jamaa ni asset kwelikweli kwa CCM na Taifa kwa ujumla wake
 
Ilani ya Nani ?

Huyu kuwa mpinzani alikuwa anapinga itikadi au Watu ?

Kwa Siasa full Usanii especially Bongo Chama ni Platform ya kuweza kwenda kupata ulaji na sio sehemu ya mawazo mbadala
Jaribu kuchungulia wenzetu pale Kenya, Vyama is nothing but a Nation
 
Ukiona Rais anafanya maamuzi na wanaofurahia ni hawa CHADEMA nadhani hayo maamuzi yanawapa nafuu wao kama Upinzani,

#Naamimi Kafulila anapelekwa juu na Mama ili kuwanyoosha vizuri.Time will tell
Kafulila atarudi juu, hiyo ni given
 
Atapangiwa Kazi zingine ale kwanza alizopata
 
Dr Slaa alimuita Sisimizi

AG akamuita Tu2
Rejelea ni kwanini alimwita hivyo?

Nasisitiza Kafulila ni material Sana kwa nchi hii hasa sasa,

Nitakuwa mkweli kama nilivyomkweli kuMsemea Rais Samia
 
Huyu kazi yake ni kumfurahisha Rais ama

Kuwatumikia wananchi.
 
Kafulila atarudi juu, hiyo ni given
Hii itawapa nguvu hata RCS wengine,

Uchawa hauepukiki hasa kwenye nchi za vyama vingi kama hii,

Winners takes all hii ni hatari Sana
 
Kama kuna RC alimwelewa na kumwelezea Vizuri Rais Samia kwa Umma basi ni Kafulila

Hamu yangu RCs waige mazuri ya Kafulila hasa kusema mazuri ya Rais wetu na Serikali anayoiongoza.
Chawa chawa kazini
 
SWALI,

kwanini wanaofurahia kutenguliwa Kwa Hapi na Kafulila ni watu Wa UpinzaNi?
 
Huyu jamaa ukuu wa mkoa haumfai level yake ni ya uwaziri au unaibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…