Hatimaye David Kafulila akabidhi ofisi, aendelea kusisitiza Rais Samia hakamatiki utekelezaji wa Ilani, amtaja kuvunja rekodi ya miaka 20 kwenye maji

Hatimaye David Kafulila akabidhi ofisi, aendelea kusisitiza Rais Samia hakamatiki utekelezaji wa Ilani, amtaja kuvunja rekodi ya miaka 20 kwenye maji

Whaat! Kujua kujipendekeza ndiyo kumwelewa? Kweli akili ni nywele.... BTW siku hizi watu wakitumbulia hawatoi tena maneno machafu au kuhama bali wanazidisha kusifu na kutukuza ili wakumbukwe tena. Mwasisi wa kucheza na akili za wateule wake ni Magufuli. Alikuwa anatumia ujanja wa kutumbua na kurudisha, iwapo aliyetumbuliwa aliendelea kumsifu na kumtukuza. Namna rais anakuwa ni kama ameshikia watu akili zao na anazichezea anavyopenda.
Kusifu, kukosoa na kuelekeza yote ni mambo mema kwa binadamu sahihi
 
Ivi kweli, Kafulila ni maneno matupu?

1. Kuvunja mkataba na CHICCO baada ya kuteengeneza barabara chini ya kiwango na kuokoa fedha za serikali 15bilioni ni maneno matupu haya?

2. Ivi kweli kuzui michomoko iliyoua maelfu Tanzania ni maneno matupu?

3. Ivi kweli Kuongeza bei ya pamba toka 800/kg mpaka 1,800/kg haya ni maneno matupu?

4. Ivi kweli kukamata wezi wa Pamba na kuwafunga na wengine kujinyonga ni haya ni maneno matupu?

5. Kumnyang'anya kada wa CCM yaani MNEC soko la madini alilolimiliki kinyume cha sheria haya ni maneno matupu?

Let's be serious guys Kafulila ni asset kwa Taifa letu,


Ova.
✔️🙏😍
 
Ilani ya Nani ?

Huyu kuwa mpinzani alikuwa anapinga itikadi au Watu ?

Kweli Siasa full Usanii especially Bongo Chama ni Platform tu ya kuweza kwenda kupata ulaji na sio sehemu ya mawazo mbadala
ILANI YA CCM 2020/25
 
Machadema yanamchukia Kafulila kisa kumsemea mama vizuri, majaa hayapendi Sana yanataka yamtukane na asiwepo mtetezi
Yanamchukia sababu ya uchawa tu.
Kwani wananchi hatuoni na kujua anachojaribu kufanya?
Kashindwa kumjenga Jesca wake ajenge mkoa?
 
Back
Top Bottom