Ostrich eggs
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 638
- 453
Mbona basi weye wahangaika na ma ID lukuki?πππhebu njoo CCM uone ilivyo raha mkuu
Wewe jibu,ID Kitu gani?Mbona basi weye wahangaika na ma ID lukuki?
ππSawa lakini kwanini msituoneshe mfano na Sisi nyie Chadema?
Chama kina miaka 30 kimeongoza na baba na mtoto tu kwa miaka yote
SureHizi siasa ni kama yanga wanavyompenda tu Mayele
Kwani jumla una ID ngapi?Sawa lakini kwanini msituoneshe mfano na Sisi nyie Chadema?
Chama kina miaka 30 kimeongoza na baba na mtoto tu kwa miaka yote
Maana yake huna raha huko. Kutwa mnahangaika kuokoteza cha kuimbia mapambio.Wewe jibu,ID Kitu gani?
Kwani Jf wanaruhusu ID ngapi? Mimi niliomba ID ya pili ikawa rejected mbonaKwani jumla una ID ngapi?
Ameimba pambio CM 1774858 au Kafulila hapo?Maana yake huna raha huko. Kutwa mnahangaika kuokoteza cha kuimbia mapambio.
Kusifu, kukosoa na kuelekeza yote ni mambo mema kwa binadamu sahihiWhaat! Kujua kujipendekeza ndiyo kumwelewa? Kweli akili ni nywele.... BTW siku hizi watu wakitumbulia hawatoi tena maneno machafu au kuhama bali wanazidisha kusifu na kutukuza ili wakumbukwe tena. Mwasisi wa kucheza na akili za wateule wake ni Magufuli. Alikuwa anatumia ujanja wa kutumbua na kurudisha, iwapo aliyetumbuliwa aliendelea kumsifu na kumtukuza. Namna rais anakuwa ni kama ameshikia watu akili zao na anazichezea anavyopenda.
Acha kukimbia maswali dogo, hebu jibu kwanza.Kwani jumla una ID ngapi?
Hawajielewewi kabisa,Ameimba pambio CM 1774858 au Kafulila hapo?
Kabundi ndio nani wewe BAVICHA?Acha kujitoa fahamu kama Kabundi na Pole pole, nenda kasome tena rasimu ya Warioba.
Chadema waliokuwa wanaisaidia wengi walishakimbiaAcha kukimbia maswali dogo, hebu jibu kwanza.
What matters hapa ni issues sio "ID" wewe hata uwe na ID kumi kama huna hoja huna tu,
βοΈππIvi kweli, Kafulila ni maneno matupu?
1. Kuvunja mkataba na CHICCO baada ya kuteengeneza barabara chini ya kiwango na kuokoa fedha za serikali 15bilioni ni maneno matupu haya?
2. Ivi kweli kuzui michomoko iliyoua maelfu Tanzania ni maneno matupu?
3. Ivi kweli Kuongeza bei ya pamba toka 800/kg mpaka 1,800/kg haya ni maneno matupu?
4. Ivi kweli kukamata wezi wa Pamba na kuwafunga na wengine kujinyonga ni haya ni maneno matupu?
5. Kumnyang'anya kada wa CCM yaani MNEC soko la madini alilolimiliki kinyume cha sheria haya ni maneno matupu?
Let's be serious guys Kafulila ni asset kwa Taifa letu,
Ova.
ILANI YA CCM 2020/25Ilani ya Nani ?
Huyu kuwa mpinzani alikuwa anapinga itikadi au Watu ?
Kweli Siasa full Usanii especially Bongo Chama ni Platform tu ya kuweza kwenda kupata ulaji na sio sehemu ya mawazo mbadala
Safi πHuyu Kafulila Mimi ndio kanileta CCM. Napenda alivyosimamia pamba ya baba yangu hapo simiyu
Daaah huyu jamaaDr Slaa alimuita Sisimizi
AG akamuita Tu2
Ataishi kwa mshahara wa mkewe ambaye ni mmoja wa hao covid 19Mkuu mbona leo uko less sana shida yako nini? πππ
Kafulila na COVID 19 inakuwaje hapo?
Yanamchukia sababu ya uchawa tu.Machadema yanamchukia Kafulila kisa kumsemea mama vizuri, majaa hayapendi Sana yanataka yamtukane na asiwepo mtetezi