Hatimaye David Kafulila akabidhi ofisi, aendelea kusisitiza Rais Samia hakamatiki utekelezaji wa Ilani, amtaja kuvunja rekodi ya miaka 20 kwenye maji

Hatimaye David Kafulila akabidhi ofisi, aendelea kusisitiza Rais Samia hakamatiki utekelezaji wa Ilani, amtaja kuvunja rekodi ya miaka 20 kwenye maji

nimekubali kwamba UCHAWA huwa haudumu !! pole kamanda - mbolea imeshuka bei twende tukapige kazi Kigoma kusini, kule kuna ardhi swaafi.
 
nimekubali kwamba UCHAWA huwa haudumu !! pole kamanda - mbolea imeshuka bei twende tukapige kazi Kigoma kusini, kule kuna ardhi swaafi.
CHADEMA mnanongwa Sana nyie, Kwani Kafulila ni wakwanza kutumbuliwa,
Rais alishasema anawapeleka maeneo mengine
 
Kama kuna RC alimwelewa na kumwelezea Vizuri Rais Samia kwa Umma basi ni Kafulila

Hamu yangu RCs waige mazuri ya Kafulila hasa kusema mazuri ya Rais wetu na Serikali anayoiongoza.

Hebu angalia hii ni kazi ya Rais Samia kwa mkoa mmoja tu Simiyu ,

Yule anayebisha Rais Samia kiboko yao anashida kubwa ya akili
HANA LOLOTE NI NJAA ANAMSIFIA ILI APATE TEUZI
 
Ivi kweli, Kafulila ni maneno matupu?

1. Kuvunja mkataba na CHICCO baada ya kuteengeneza barabara chini ya kiwango na kuokoa fedha za serikali 15bilioni ni maneno matupu haya?

2. Ivi kweli kuzui michomoko iliyoua maelfu Tanzania ni maneno matupu?

3. Ivi kweli Kuongeza bei ya pamba toka 800/kg mpaka 1,800/kg haya ni maneno matupu?

4. Ivi kweli kukamata wezi wa Pamba na kuwafunga na wengine kujinyonga ni haya ni maneno matupu?

5. Kumnyang'anya kada wa CCM yaani MNEC soko la madini alilolimiliki kinyume cha sheria haya ni maneno matupu?

Let's be serious guys Kafulila ni asset kwa Taifa letu,


Ova.
Maneno nyingi canyoning kazi.
Mama mama mama kila kukicha.
Mmewaacha mama zenu wapi???

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
I can see! Inaonekana wewe na Rais ni dugu moja! Kwani umejua kuwa Lazima Kafulila apewe nafasi ya juu!
Tatizo lenu nyie Ufipa FC hampendi kumsikiliza Rais,

Rais alishasema yeye mwenyewe kuwa hawa wengine anawapeleka maeneo mengine
 
Sasa unaonaje kuhusu 400b za maji ya kutoka Ziwani hadi Simiyu, hili si jambo jema?
Umesikia Rais kaokoa fedha za Kitanzania Trilioni tatu hili ni jambo baya,
400BILI Simiyu maji na Samia
400BILI Simiyu maji na Samia
400BILI Simiyu maji na Samia
400BILI Simiyu maji na Samia
400BILI Simiyu maji na Samia
400BILI Simiyu maji na Samia
400BILI Simiyu maji na Samia
400BILI
 
Katiba mpya ya nini?

Kwanini msianze na hiyo yenu inayomwacha Mbowe kuwa mkt miaka 30,

CHADEMA UZENI TU HICHO CHAMA MGAWANE MTAKACHOPATA
Taifa letu lahitaji kutibiwa kutoka mawazo duni ya kujipendekeza ili kutibu njaa zenu endelevu.
 
Njoo usifie na wewe uvuke
Izo atua tumeisha vuka , wewe hujui Kuna kipindi usipo kuwa makini teuzi lazima zikutoe ufaham? Yani unatoa ubongo unauweka nje, hivi mbona Mh Mtaka WENDA akawa mkuu wa Mkoa bora tz, na level aliyonayo hastahili kuwa mkuu wa Mkoa bali anatakiwa kuwa WAZIRI, lakin pia Kama Taifa Kama tunalea viongonzi wa badae KWA nafasi za juu, hata Urais anafaa ,why sio mtu wa kujikomba Sana, FANYA KAZI mtateuliwa, ila sio sifa za ajabu so what!
 
Taifa letu lahitaji kutibiwa kutoka mawazo duni ya kujipendekeza ili kutibu njaa zenu endelevu.
Nenda kafanye research uje utuambie kati ya wanachama wa CHADEMA na Wale wa CCM, Ni wepi wananjaa kali
 
Back
Top Bottom