Hatimaye dawa ya Kenya kukwamisha Maendeleo Tanzania imepatikana rasmi!

Hatimaye dawa ya Kenya kukwamisha Maendeleo Tanzania imepatikana rasmi!

Hizi propaganda za kizee bado mnaamini zinaweza kuwateka watu? Mnaamini hatujui lolote kuhusu Loliondo, hivyo mnadhani mkitulisha huu uchafu ndio tutapotea maboya!
Unajua nini kuhusu loliondo na Ngorongoro zaidi ya kulishwa matango pori na propaganda za wakenya we muhuni?

Kama unajua lolote nope uthibitisho hapa sasaivi wa Ngorongoro na Loliondo kupewa mwekezaji. Weka ushahidi hapa jina la huyo mwekezaji, mkataba aliousaini na malipo qliyoyafanya.

Tufunge uzi!
 
Pamoja na kukubaliana nawe katika mambo kadhaa, hasa jambo la msingi kwamba Kenya na Tanzania ni wapinzani katika maswala ya uchumi, lakini 'propaganda' zako ni nyepesi mno, hata pengine zaidi ya hao waKenya.

Samia hajafanya lolote la maana katika kupambana na mbinu za Kenya, na kama ataendelea hivi hivi hadi 2025, atakuwa ameachwa nyuma sana, na Tanzania itakuwa tegemezi mkubwa kwa Kenya katika mambo mengi, ukiondoa swala la chakula pekee basi!
Kama huna kumbukumbu za enzi za Kikwete, Kenya walivyokuwa wakizoa hapa, basi subiri hujaona kitu enzi za Samia.

Kuhusu swala la Loliondo na Ngorongoro uliloweka hapo juu, wewe unapiga 'propaganda' za kishamba zaidi juu ya swala hilo.
Kenya watatuachaje nyuma wakati wanategemea almost kila kitu kutoka Tanzania?

Leo hii ukifungwa mpaka, athari kwa Tanzania itakuwa fedha ila kwa Kenya ni pesa na njaa juu
 
Kiongozi pekee wa Tanzania aliyewahi kuwashinda wakenya mpaka wenyewe wakasanda ni John Pombe Joseph Magufuli.. Yule bwana aliwapelekesha wakenya mpaka wakaanza kumuimba kwao Huko.. Japo naye aliwezwa kisawasawa na kagame
alipambana nao kwa kuchoma vifaranga? Vile viumbe hai alivyoviteketeza pasi na sababu vilimletea laana kubwa sana.


JESUS IS LORD
 
alipambana nao kwa kuchoma vifaranga? Vile viumbe hai alivyoviteketeza pasi na sababu vilimletea laana kubwa sana.


JESUS IS LORD
Kubwa alilofanya yule mzee ni kufungua kambi ya Jeshi pale Loliondo mwaka 2020.

Naye alifanyq kwa sehemu ingawa kwa sehemu kubwa alitumia sana mabavu kuliko akili
 
Hawa vibaraka wa Kenya hawatusumbui, ujumbe kwao ni mmoja tu. Mmasai wa Kenya aisha na kuchunga mifugo yake Kenya na Mmasai wa Tanzania aishi na kuchunga mifugo yake Tanzania
Japo ulichoandika kina ukweli, ila subiri wanaharakati koko na wale wamasai uchwara kutoka Kenya waje wawatetee mabwanyenye wao hapa jukwaani bila aibu.
 
Mnaendeleaje hapo Nairobi?

Umewai kuona mkataba wa mradi gani uliofanyika hapa Tanzania? Umewahi kuhoji?

Unataka muendelezo gani kwa Wamasai kuhamia Tanga wakati unaishi Nairobi? Fuata taratibu za kisheria, toka huko Nairobi, vuka mpaka then nenda Msomera Tanga uone kama kuna muendelezo au hakuna?
Siishi Nairobi, wacha kukimbia ujinga ulioandika.

Mimi kutokuwahi kuona mkataba wowote hakunifanyi nikae kimya nisiulizie mikataba serikali inayoingia, sina tabia ya uchawa kama yako.

Narudia tena, utoto ulioandika wa kuwalaumu wakenya hauna maana, tatizo letu ni viongozi wetu kutokuwa na vipaumbele wanapoingia madarakani, na Samia wako in particular anahusika
 
Siishi Nairobi, wacha kukimbia ujinga ulioandika.

Mimi kutokuwahi kuona mkataba wowote hakunifanyi nikae kimya nisiulizie mikataba serikali inayoingia, sina tabia ya uchawa kama yako.

Narudia tena, utoto ulioandika wa kuwalaumu wakenya hauna maana, tatizo letu ni viongozi wetu kutokuwa na vipaumbele wanapoingia madarakani, na Samia wako in particular anahusika
Wewe ni Mkenya na upo Kenya

Huwezi kuwa Mtanzania kama unaunga mkono huu upuuzi unaofanyika dhidi ya Tanzania
 
Tangu Awamu wa 1 Kenya alijitanabaisha kama Silent enemy wa Tanzania na hii lilisababishwa na tofauti za kiitikadi/kiuchumi baina ya Mataifa haya mawili

Ugomvi wa Kenya na Tanzania ulianza mara tu baada ya Tanzania kutangaza kufuata mrengo wa kijamaa hapo mwaka 1967 na kilichofuata baada ya hapo ni vita vya ujasusi baina ya mataifa haya 2

Katika vita hii, Kenya waziwazi aliunga mkono watu waliokuwa either wanataka Tanzania isitawalike au waliokuwa wakizipinga serikali za Chama cha Mapinduzi.

Mfano tu:

Mwaka 1967 Kenya walitumika kumtorosha mpinzani wa 1 wa Nyerere aliyejitoa kwenye serikali Ndugu Oscar Kambona. Kambona baada ya kutofautiana na Nyerere alikimbilia Uingereza kupitia Nairobi

Mwaka 1981 Kenya walimtorosha aliyeongoza kikundi cha wanajeshi waliotaka kumpindua Mwl Nyerere ndugu Khatib Ghand

Kenya pia ilitumika kama njia ya kuwatorosha marubani walioteka ndege ya Tanzania kumlazimisha Nyerere kung'atuka

Baada ya Nyerere kuondoka na Kenya kutawala uchumi wa Afrika Mashariki , Kenya ilibadili mbinu za kuidhoofisha Tanzania na kuhamia kwenye mbinu za kudhoofisha mipango yote ya maendeleo ambayo inaweza kuifanya Tanzania ikawapiku kiuchumi

Njia kuu aliyotumia Kenya kudhoofisha mipango ya Maendeleo ya Tanzania ni siasa maana aligundua mambo yote ya kimandeleo ya Tanzania yanaamuliwa kisiasa

Kupitia siasa , Kenya alifanikiwa kudhoofisha miradi ifuatayo ya Tanzania na baada ya miradi iyo kukwama Tanzania akaenda kuifanya kwake

1. Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
Njia kuu aliyotumia Kenya kukwamisha mradi huu ni kueneza propaganda kuwa Bagamoyo anauziwa mchina. Hoja hii ilifanya mradi huu ukakwama Tanzania na hatimaye Kenya akatengeneza Bandari kama hiyo Lamu tena kwa kupitiq mchina huyo huyo

2. Mradi wa Satellite City, Kigamboni
Kenya alijua kigamboni ikifanikiwa basi ndo itakuwa Dubai ya kwanza Afrika Mashariki na akatumia propaganda kuwa George Bush amenunua kigamboni na siasa ile ikasabisha Tanzania tushindwe kuwa nchi ya 1 ukanda huu kuwa na satellite city. Sasa Kenya ndo imekuwa ya 1 baada ya kuanzisha mradi wa Konza City

Sasa ugonjwa huu umepatiwa Dawa:
Kiukweli maraisi takribani 5 wa Tanzania kutokana na kuendekeza kuwa populist walishindwa kujinasua kutoka kwenye mbinu hizi za Kenya. Ni Samia Suluhu Hassan aliyejaribu na napenda kusema anaenda kufanikiwa kwa kuzishinda propaganda za Kenya kwenye hili suala la Loliondo/ Ngorongoro

Ni ukweli usiopingika kuwa sasa Kenya anahangaika usiku kucha ili aimalize sekta ya utalii ya Tanzania ambayo kiuhalisia ndo tishio kubwa zaidi kwa uhai wake kiuchumi ambao unategemea hasa kiutalii

Ndoto kubwa ya Kenya ni kuua uti wa Mgongo wa utalii wa Tanzania ambayo ni kaskazini mwa Tanzania. Ukiongelea kaskazini wa Tanzania unaongelea Loliondo, Ngorongoro, Serengeti na kilimanjaro bila kusahau Manyara.

Njia pekee anayotegemea Kenya kufanikisha hili ni kuhakikisha siasa inatumika ipasavyo ili shughuli za kibinadamu zisikome kwenye mbuga hizi maana kwenye shughuli za kibinadamu mnyama hakai na pasipo na mnyama basi mtalii hawezi kuja.

Katika suala la Ngorongoro/ Loliondo, Kenya kaja na propaganda ya kisiasa kuwa eneo lote lile anapewa mwekezaji hivyo Wamasai hawatakiwi kuwepo

Propaganda hii kusema kweli imefeli vibaya sana na kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia tumeona propaganda za Kenya zikishindwa na Serikali ikitekeleza wajibu wake kwa Maslahi mapana ya Taifa

Hongera Samia! Huo ndo mwendo wa kwenda, Kenya wametuchelewesha sana!
Aliyekwamisha mradi wa Bandari ya Bagamoyo ni kenya au Magufuli!!??,mbona umeongea vitu vya kufikirika sana asubuhi hii mzee
 
Aliyekwamisha mradi wa Bandari ya Bagamoyo ni kenya au Magufuli!!??,mbona umeongea vitu vya kufikirika sana asubuhi hii mzee
magufuli aliingia chaka kwenye siasa zilizotengenezwa na propaganda za wakenya
 
Hoja zina ukweli lkn mambo mengi ni porojo yaliyolenga kumsifia rais aliyepo basi.
1. Huwezi kuwa na Bagamoyo ambayo ina lengonla kudhoofisha bandari zingine ktk bahari ya hindi i e Tanga, Dar na Mtwara. Ukitegemea mizigo yooote itembee barabarani hadi Mtwara.

Huwezi kuwa Kigamboni city au the Diamond city kwa kupora ardhi kibabe. Hii ndio maana inaleta ukakasi kule LOLIONDO halafu useme Kenya amefanya ujasusi. Kwanini usitumie njia sahihi za kisheria? Basi Kenya wameanzia kwako kukuharibu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hoja zina ukweli lkn mambo mengi ni porojo yaliyolenga kumsifia rais aliyepo basi.
1. Huwezi kuwa na Bagamoyo ambayo ina lengonla kudhoofisha bandari zingine ktk bahari ya hindi i e Tanga, Dar na Mtwara. Ukitegemea mizigo yooote itembee barabarani hadi Mtwara.

Huwezi kuwa Kigamboni city au the Diamond city kwa kupora ardhi kibabe. Hii ndio maana inaleta ukakasi kule LOLIONDO halafu useme Kenya amefanya ujasusi. Kwanini usitumie njia sahihi za kisheria? Basi Kenya wameanzia kwako kukuharibu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Bandari ya Lamu imeua bandari ya Mombasa hapo Kenya?

Bandari ya Dar ina Gati 12, Bandari ya Mombasa ina Gati 22, Bandari ya Lamu ina Gati 40. Unategemea Tanzania ataweza kushindana na Kenya kwenye sekta ya Bandari?

Huo ujinga unautoa wapi?
 
Mimi mtanzania 100% na ninaipenda Tanzania kufa mtu, nawashauri watanzania tuache upuuzi tuchape kazi, mchawi wa maendeleo ya TZ ni watanzania wenyewe tuache kulaumu watu wengine, umaskini wetu na shida zetu tujilaumu wenyewe na sio mtu mwingine
Kwanza wewe uko matawi ya juu halafu unaleta propaganda za kitoto.
 
Hoja dhaifu kweli .

Hivi unafahamu Raila Odinga alikua na passport ya Tanzania na alipata hifadhi kukwepa kuuwawa kwao huko na utawala dhalimu wa Moi?

Na unafahamu hata wapinzani kama Miguna Miguna aliyetorokea uhamishoni Canada alipita Tanzania, kwahiyo wao kumpitisha Kambona umeona ni issue kubwa?
 
Hawa vibaraka wa Kenya hawatusumbui, ujumbe kwao ni mmoja tu. Mmasai wa Kenya aisha na kuchunga mifugo yake Kenya na Mmasai wa Tanzania aishi na kuchunga mifugo yake Tanzania
Kweli mkuu. Si unaona humu tulivyowabana vya kujambia mpaka wameamua kukimbia post zao wenyew. Manyang'au walitegemea kupata uungwaji mkono mkubwa kupitia mazezeta yao humu mitandaoni, lakini bakora walizochezea wao na mazezeta yao, sizani kama wataendelea kuandika ujinga ujinga tena kama mwanzo.
 
Magufuli alipambana nao ila alitumia sana nguvu kuliko akili

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hizo akili ziko wapi kwanini zisitumiwe? Au nani anazo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Espionage inajibiwaga kwa counter espionage

Hakuna hoja dhaifu! Wewe ndo uelewa wako uko finyu
Hoja dhaifu kweli .

Hivi unafahamu Raila Odinga alikua na passport ya Tanzania na alipata hifadhi kukwepa kuuwawa kwao huko na utawala dhalimu wa Moi?

Na unafahamu hata wapinzani kama Miguna Miguna aliyetorokea uhamishoni Canada alipita Tanzania, kwahiyo wao kumpitisha Kambona umeona ni issue kubwa?
 
Kweli mkuu. Si unaona humu tulivyowabana vya kujambia mpaka wameamua kukimbia post zao wenyew. Manyang'au walitegemea kupata uungwaji mkono mkubwa kupitia mazezeta yao humu mitandaoni, lakini bakora walizochezea wao na mazezeta yao, sizani kama wataendelea kuandika ujinga ujinga tena kama mwanzo.
Wameshikwa papaya safari hii! Hawana pq kutokea

Na hatua ifuatayo tunagawa vitambulisho vya uraia kwa Watanzania wote Ngorongoro na Loliondo! Mtu akiingia lazima aoneshe kitambulisho safari hii
 
Tangu Awamu wa 1 Kenya alijitanabaisha kama Silent enemy wa Tanzania na hii lilisababishwa na tofauti za kiitikadi/kiuchumi baina ya Mataifa haya mawili

Ugomvi wa Kenya na Tanzania ulianza mara tu baada ya Tanzania kutangaza kufuata mrengo wa kijamaa hapo mwaka 1967 na kilichofuata baada ya hapo ni vita vya ujasusi baina ya mataifa haya 2

Katika vita hii, Kenya waziwazi aliunga mkono watu waliokuwa either wanataka Tanzania isitawalike au waliokuwa wakizipinga serikali za Chama cha Mapinduzi.

Mfano tu:

Mwaka 1967 Kenya walitumika kumtorosha mpinzani wa 1 wa Nyerere aliyejitoa kwenye serikali Ndugu Oscar Kambona. Kambona baada ya kutofautiana na Nyerere alikimbilia Uingereza kupitia Nairobi

Mwaka 1981 Kenya walimtorosha aliyeongoza kikundi cha wanajeshi waliotaka kumpindua Mwl Nyerere ndugu Khatib Ghand

Kenya pia ilitumika kama njia ya kuwatorosha marubani walioteka ndege ya Tanzania kumlazimisha Nyerere kung'atuka

Baada ya Nyerere kuondoka na Kenya kutawala uchumi wa Afrika Mashariki , Kenya ilibadili mbinu za kuidhoofisha Tanzania na kuhamia kwenye mbinu za kudhoofisha mipango yote ya maendeleo ambayo inaweza kuifanya Tanzania ikawapiku kiuchumi

Njia kuu aliyotumia Kenya kudhoofisha mipango ya Maendeleo ya Tanzania ni siasa maana aligundua mambo yote ya kimandeleo ya Tanzania yanaamuliwa kisiasa

Kupitia siasa , Kenya alifanikiwa kudhoofisha miradi ifuatayo ya Tanzania na baada ya miradi iyo kukwama Tanzania akaenda kuifanya kwake

1. Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
Njia kuu aliyotumia Kenya kukwamisha mradi huu ni kueneza propaganda kuwa Bagamoyo anauziwa mchina. Hoja hii ilifanya mradi huu ukakwama Tanzania na hatimaye Kenya akatengeneza Bandari kama hiyo Lamu tena kwa kupitiq mchina huyo huyo

2. Mradi wa Satellite City, Kigamboni
Kenya alijua kigamboni ikifanikiwa basi ndo itakuwa Dubai ya kwanza Afrika Mashariki na akatumia propaganda kuwa George Bush amenunua kigamboni na siasa ile ikasabisha Tanzania tushindwe kuwa nchi ya 1 ukanda huu kuwa na satellite city. Sasa Kenya ndo imekuwa ya 1 baada ya kuanzisha mradi wa Konza City

Sasa ugonjwa huu umepatiwa Dawa:
Kiukweli maraisi takribani 5 wa Tanzania kutokana na kuendekeza kuwa populist walishindwa kujinasua kutoka kwenye mbinu hizi za Kenya. Ni Samia Suluhu Hassan aliyejaribu na napenda kusema anaenda kufanikiwa kwa kuzishinda propaganda za Kenya kwenye hili suala la Loliondo/ Ngorongoro

Ni ukweli usiopingika kuwa sasa Kenya anahangaika usiku kucha ili aimalize sekta ya utalii ya Tanzania ambayo kiuhalisia ndo tishio kubwa zaidi kwa uhai wake kiuchumi ambao unategemea hasa kiutalii

Ndoto kubwa ya Kenya ni kuua uti wa Mgongo wa utalii wa Tanzania ambayo ni kaskazini mwa Tanzania. Ukiongelea kaskazini wa Tanzania unaongelea Loliondo, Ngorongoro, Serengeti na kilimanjaro bila kusahau Manyara.

Njia pekee anayotegemea Kenya kufanikisha hili ni kuhakikisha siasa inatumika ipasavyo ili shughuli za kibinadamu zisikome kwenye mbuga hizi maana kwenye shughuli za kibinadamu mnyama hakai na pasipo na mnyama basi mtalii hawezi kuja.

Katika suala la Ngorongoro/ Loliondo, Kenya kaja na propaganda ya kisiasa kuwa eneo lote lile anapewa mwekezaji hivyo Wamasai hawatakiwi kuwepo

Propaganda hii kusema kweli imefeli vibaya sana na kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia tumeona propaganda za Kenya zikishindwa na Serikali ikitekeleza wajibu wake kwa Maslahi mapana ya Taifa

Hongera Samia! Huo ndo mwendo wa kwenda, Kenya wametuchelewesha sana!
MAPAMBIO yanaendelea.

Muda utaongea. Amen
 
Unajua nini kuhusu loliondo na Ngorongoro zaidi ya kulishwa matango pori na propaganda za wakenya we muhuni?

Kama unajua lolote nope uthibitisho hapa sasaivi wa Ngorongoro na Loliondo kupewa mwekezaji. Weka ushahidi hapa jina la huyo mwekezaji, mkataba aliousaini na malipo qliyoyafanya.

Tufunge uzi!

Tulia muimba mapambio, hata ukipewa utasaidia nini?
 
Back
Top Bottom