witzone2
JF-Expert Member
- Jan 14, 2022
- 797
- 1,739
Sasa kama unajua jiran yako ni mafia na wewe si umfanyie umafiaShida sio wewe! Shida ni akili yako na upeo wako! kukosa kwako exposure unashindwa hata kuelewa dunia inaendaje
Kwa taarifa yako hakuna cha bahati mbaya duniani! Kila nchi inafanya umafia kwa faida yake. Hakuna kitu cha bahati mbaya
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app