Hatimaye dawa ya Kenya kukwamisha Maendeleo Tanzania imepatikana rasmi!

Hatimaye dawa ya Kenya kukwamisha Maendeleo Tanzania imepatikana rasmi!

Tangu Awamu wa 1 Kenya alijitanabaisha kama Silent enemy wa Tanzania na hii lilisababishwa na tofauti za kiitikadi/kiuchumi baina ya Mataifa haya mawili

Ugomvi wa Kenya na Tanzania ulianza mara tu baada ya Tanzania kutangaza kufuata mrengo wa kijamaa hapo mwaka 1967 na kilichofuata baada ya hapo ni vita vya ujasusi baina ya mataifa haya 2

Katika vita hii, Kenya waziwazi aliunga mkono watu waliokuwa either wanataka Tanzania isitawalike au waliokuwa wakizipinga serikali za Chama cha Mapinduzi.

Mfano tu:

Mwaka 1967 Kenya walitumika kumtorosha mpinzani wa 1 wa Nyerere aliyejitoa kwenye serikali Ndugu Oscar Kambona. Kambona baada ya kutofautiana na Nyerere alikimbilia Uingereza kupitia Nairobi

Mwaka 1981 Kenya walimtorosha aliyeongoza kikundi cha wanajeshi waliotaka kumpindua Mwl Nyerere ndugu Khatib Ghand

Kenya pia ilitumika kama njia ya kuwatorosha marubani walioteka ndege ya Tanzania kumlazimisha Nyerere kung'atuka

Baada ya Nyerere kuondoka na Kenya kutawala uchumi wa Afrika Mashariki , Kenya ilibadili mbinu za kuidhoofisha Tanzania na kuhamia kwenye mbinu za kudhoofisha mipango yote ya maendeleo ambayo inaweza kuifanya Tanzania ikawapiku kiuchumi

Njia kuu aliyotumia Kenya kudhoofisha mipango ya Maendeleo ya Tanzania ni siasa maana aligundua mambo yote ya kimandeleo ya Tanzania yanaamuliwa kisiasa

Kupitia siasa , Kenya alifanikiwa kudhoofisha miradi ifuatayo ya Tanzania na baada ya miradi iyo kukwama Tanzania akaenda kuifanya kwake

1. Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
Njia kuu aliyotumia Kenya kukwamisha mradi huu ni kueneza propaganda kuwa Bagamoyo anauziwa mchina. Hoja hii ilifanya mradi huu ukakwama Tanzania na hatimaye Kenya akatengeneza Bandari kama hiyo Lamu tena kwa kupitiq mchina huyo huyo

2. Mradi wa Satellite City, Kigamboni

Kenya alijua kigamboni ikifanikiwa basi ndo itakuwa Dubai ya kwanza Afrika Mashariki na akatumia propaganda kuwa George Bush amenunua kigamboni na siasa ile ikasabisha Tanzania tushindwe kuwa nchi ya 1 ukanda huu kuwa na satellite city. Sasa Kenya ndo imekuwa ya 1 baada ya kuanzisha mradi wa Konza City

Sasa ugonjwa huu umepatiwa Dawa:
Kiukweli maraisi takribani 5 wa Tanzania kutokana na kuendekeza kuwa populist walishindwa kujinasua kutoka kwenye mbinu hizi za Kenya. Ni Samia Suluhu Hassan aliyejaribu na napenda kusema anaenda kufanikiwa kwa kuzishinda propaganda za Kenya kwenye hili suala la Loliondo/ Ngorongoro

Ni ukweli usiopingika kuwa sasa Kenya anahangaika usiku kucha ili aimalize sekta ya utalii ya Tanzania ambayo kiuhalisia ndo tishio kubwa zaidi kwa uhai wake kiuchumi ambao unategemea hasa kiutalii

Ndoto kubwa ya Kenya ni kuua uti wa Mgongo wa utalii wa Tanzania ambayo ni kaskazini mwa Tanzania. Ukiongelea kaskazini wa Tanzania unaongelea Loliondo, Ngorongoro, Serengeti na kilimanjaro bila kusahau Manyara.

Njia pekee anayotegemea Kenya kufanikisha hili ni kuhakikisha siasa inatumika ipasavyo ili shughuli za kibinadamu zisikome kwenye mbuga hizi maana kwenye shughuli za kibinadamu mnyama hakai na pasipo na mnyama basi mtalii hawezi kuja.

Katika suala la Ngorongoro/ Loliondo, Kenya kaja na propaganda ya kisiasa kuwa eneo lote lile anapewa mwekezaji hivyo Wamasai hawatakiwi kuwepo

Propaganda hii kusema kweli imefeli vibaya sana na kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia tumeona propaganda za Kenya zikishindwa na Serikali ikitekeleza wajibu wake kwa Maslahi mapana ya Taifa

Hongera Samia! Huo ndo mwendo wa kwenda, Kenya wametuchelewesha sana!
Hivi mbona mataga ya Lumumba mnadanganya watu hivyo. Yaani mshindwe kuwaletea wananchi msingizie wakenya. Achen ujinga aisee. Mnaanzisha mipango wenyewe halafu mnasingizia jiran ndo anakuamisha hiyo mipango huo ni ujuha wa hali ya juu mnoo aisee. Hizi sababu zote ulizizitoa hapa hazina mashiko. Kwa ufupi mmeshindwa kuendesha nchi. Mnatumia Dola tu.

Rasilimali tulizonazo mmeshindwa kuondoa watu kwenye umaskin. Mnasingizia Kenya.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Hivi mbona mataga ya Lumumba mnadanganya watu hivyo. Yaani mshindwe kuwaletea wananchi msingizie wakenya. Achen ujinga aisee. Mnaanzisha mipango wenyewe halafu mnasingizia jiran ndo anakuamisha hiyo mipango huo ni ujuha wa hali ya juu mnoo aisee. Hizi sababu zote ulizizitoa hapa hazina mashiko. Kwa ufupi mmeshindwa kuendesha nchi. Mnatumia Dola tu.

Rasilimali tulizonazo mmeshindwa kuondoa watu kwenye umaskin. Mnasingizia Kenya.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app

Ukiona mtu kwa kushindwa kwake maisha analaumu wengine jua ni kichaa, huwezi kufanikiwa kwa kutupia lawama wengine kwa matatizo yako mwenyewe haipo hiyo
 
Hivi mbona mataga ya Lumumba mnadanganya watu hivyo. Yaani mshindwe kuwaletea wananchi msingizie wakenya. Achen ujinga aisee. Mnaanzisha mipango wenyewe halafu mnasingizia jiran ndo anakuamisha hiyo mipango huo ni ujuha wa hali ya juu mnoo aisee. Hizi sababu zote ulizizitoa hapa hazina mashiko. Kwa ufupi mmeshindwa kuendesha nchi. Mnatumia Dola tu.

Rasilimali tulizonazo mmeshindwa kuondoa watu kwenye umaskin. Mnasingizia Kenya.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Unahitaji elimu sana juu ya espionage
 
Poor exposure ndio kinawatafuna ccm , exposure sio kutembea nchi nyingi hapana tuna maana exposure ya kiakili maana wana ccm ukisema exposure wanapanda ndege kwenda ulaya na marekani wakihisi ndio exposure kumbe hawajielewi,
 
Ukiona mtu kwa kushindwa kwake maisha analaumu wengine jua ni kichaa, huwezi kufanikiwa kwa kutupia lawama wengine kwa matatizo yako mwenyewe haipo hiyo
Shida sio wewe! Shida ni akili yako na upeo wako! kukosa kwako exposure unashindwa hata kuelewa dunia inaendaje

Kwa taarifa yako hakuna cha bahati mbaya duniani! Kila nchi inafanya umafia kwa faida yake. Hakuna kitu cha bahati mbaya
 
Poor exposure ndio kinawatafuna ccm , exposure sio kutembea nchi nyingi hapana tuna maana exposure ya kiakili maana wana ccm ukisema exposure wanapanda ndege kwenda ulaya na marekani wakihisi ndio exposure kumbe hawajielewi,
Exposure sio kupanda ndege

Elegant mada ndo uchangie kama hujaelewa omba ueleweshwe
 
Shida sio wewe! Shida ni akili yako na upeo wako! kukosa kwako exposure unashindwa hata kuelewa dunia inaendaje

Kwa taarifa yako hakuna cha bahati mbaya duniani! Kila nchi inafanya umafia kwa faida yake. Hakuna kitu cha bahati mbaya

Nimekupa tafsiri ya exposure kwa current world maana wewe poyoyo unadhani kuland airport nyingi ndio exposure kumbe tunamaanisha mindset exposure, ndio maana mnabaki mnadandia mambo ili msingizie wengine corona, vita ya ukraine ndio vichaka vyenu nasubiri na mkimaliza kuwalaumu kenya muanze kuwalaumu Rwanda na Congo vita yao imefanya maisha yapande si ndio au?
 
Miradi ya Bandari ya Bagamoyo na KIGAMBONI iliuliwa na Marehemu Mwendazake.
 
Naona somo limekuingia. Tulia sasa na jifunze kusimamia maslahi mapana ya nchi yako

Huo ukhanithi wa neno maslahi mapana ya nchi naona mmelishana mnadhani kila mtu anatabia ya kujikomba.
 
Ukielewa diplomasia ya uchumi huwezi kuandika huu upuuzi ulioandika hapa

Umeshawai ona Rais wa Marekani akiisema vibaya Urusi anapokutana na Rais wa Urusi?
Si anamwogopa mbona waafrica wote tumeitwa kuwa ni shit hole na rais wa marekani
 
Imagine mleta mada ndio alikuwa tegemeo la Lisu kwenda ikulu!
 
Tangu Awamu wa 1 Kenya alijitanabaisha kama Silent enemy wa Tanzania na hii lilisababishwa na tofauti za kiitikadi/kiuchumi baina ya Mataifa haya mawili

Ugomvi wa Kenya na Tanzania ulianza mara tu baada ya Tanzania kutangaza kufuata mrengo wa kijamaa hapo mwaka 1967 na kilichofuata baada ya hapo ni vita vya ujasusi baina ya mataifa haya 2

Katika vita hii, Kenya waziwazi aliunga mkono watu waliokuwa either wanataka Tanzania isitawalike au waliokuwa wakizipinga serikali za Chama cha Mapinduzi.

Mfano tu:

Mwaka 1967 Kenya walitumika kumtorosha mpinzani wa 1 wa Nyerere aliyejitoa kwenye serikali Ndugu Oscar Kambona. Kambona baada ya kutofautiana na Nyerere alikimbilia Uingereza kupitia Nairobi

Mwaka 1981 Kenya walimtorosha aliyeongoza kikundi cha wanajeshi waliotaka kumpindua Mwl Nyerere ndugu Khatib Ghand

Kenya pia ilitumika kama njia ya kuwatorosha marubani walioteka ndege ya Tanzania kumlazimisha Nyerere kung'atuka

Baada ya Nyerere kuondoka na Kenya kutawala uchumi wa Afrika Mashariki , Kenya ilibadili mbinu za kuidhoofisha Tanzania na kuhamia kwenye mbinu za kudhoofisha mipango yote ya maendeleo ambayo inaweza kuifanya Tanzania ikawapiku kiuchumi

Njia kuu aliyotumia Kenya kudhoofisha mipango ya Maendeleo ya Tanzania ni siasa maana aligundua mambo yote ya kimandeleo ya Tanzania yanaamuliwa kisiasa

Kupitia siasa , Kenya alifanikiwa kudhoofisha miradi ifuatayo ya Tanzania na baada ya miradi iyo kukwama Tanzania akaenda kuifanya kwake

1. Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
Njia kuu aliyotumia Kenya kukwamisha mradi huu ni kueneza propaganda kuwa Bagamoyo anauziwa mchina. Hoja hii ilifanya mradi huu ukakwama Tanzania na hatimaye Kenya akatengeneza Bandari kama hiyo Lamu tena kwa kupitiq mchina huyo huyo

2. Mradi wa Satellite City, Kigamboni
Kenya alijua kigamboni ikifanikiwa basi ndo itakuwa Dubai ya kwanza Afrika Mashariki na akatumia propaganda kuwa George Bush amenunua kigamboni na siasa ile ikasabisha Tanzania tushindwe kuwa nchi ya 1 ukanda huu kuwa na satellite city. Sasa Kenya ndo imekuwa ya 1 baada ya kuanzisha mradi wa Konza City

Sasa ugonjwa huu umepatiwa Dawa:
Kiukweli maraisi takribani 5 wa Tanzania kutokana na kuendekeza kuwa populist walishindwa kujinasua kutoka kwenye mbinu hizi za Kenya. Ni Samia Suluhu Hassan aliyejaribu na napenda kusema anaenda kufanikiwa kwa kuzishinda propaganda za Kenya kwenye hili suala la Loliondo/ Ngorongoro

Ni ukweli usiopingika kuwa sasa Kenya anahangaika usiku kucha ili aimalize sekta ya utalii ya Tanzania ambayo kiuhalisia ndo tishio kubwa zaidi kwa uhai wake kiuchumi ambao unategemea hasa kiutalii

Ndoto kubwa ya Kenya ni kuua uti wa Mgongo wa utalii wa Tanzania ambayo ni kaskazini mwa Tanzania. Ukiongelea kaskazini wa Tanzania unaongelea Loliondo, Ngorongoro, Serengeti na kilimanjaro bila kusahau Manyara.

Njia pekee anayotegemea Kenya kufanikisha hili ni kuhakikisha siasa inatumika ipasavyo ili shughuli za kibinadamu zisikome kwenye mbuga hizi maana kwenye shughuli za kibinadamu mnyama hakai na pasipo na mnyama basi mtalii hawezi kuja.

Katika suala la Ngorongoro/ Loliondo, Kenya kaja na propaganda ya kisiasa kuwa eneo lote lile anapewa mwekezaji hivyo Wamasai hawatakiwi kuwepo

Propaganda hii kusema kweli imefeli vibaya sana na kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia tumeona propaganda za Kenya zikishindwa na Serikali ikitekeleza wajibu wake kwa Maslahi mapana ya Taifa

Hongera Samia! Huo ndo mwendo wa kwenda, Kenya wametuchelewesha sana!
hivi kigamboni ilikuwa wa[ewe wamarekani wajenge satellite city au kituo cha kijeshi?

miradi inayohusiana na wachina siyo ya kupigia chapuo, hata wakenya wanajuta leo kujengewa sgr na wachina. na bado bandari ya lamu. itafika wakati si bandari ya mombasa tu hata mamlaka ya mapato ya kenya inaweza ikachukuliwa na wachina siku moja ili wasimamie deni lao lilrudi. Wachina ni kama wale wakopeshaji wanakaa na card za benko za walimu
 
Tangu Awamu wa 1 Kenya alijitanabaisha kama Silent enemy wa Tanzania na hii lilisababishwa na tofauti za kiitikadi/kiuchumi baina ya Mataifa haya mawili

Ugomvi wa Kenya na Tanzania ulianza mara tu baada ya Tanzania kutangaza kufuata mrengo wa kijamaa hapo mwaka 1967 na kilichofuata baada ya hapo ni vita vya ujasusi baina ya mataifa haya 2

Katika vita hii, Kenya waziwazi aliunga mkono watu waliokuwa either wanataka Tanzania isitawalike au waliokuwa wakizipinga serikali za Chama cha Mapinduzi.

Mfano tu:

Mwaka 1967 Kenya walitumika kumtorosha mpinzani wa 1 wa Nyerere aliyejitoa kwenye serikali Ndugu Oscar Kambona. Kambona baada ya kutofautiana na Nyerere alikimbilia Uingereza kupitia Nairobi

Mwaka 1981 Kenya walimtorosha aliyeongoza kikundi cha wanajeshi waliotaka kumpindua Mwl Nyerere ndugu Khatib Ghand

Kenya pia ilitumika kama njia ya kuwatorosha marubani walioteka ndege ya Tanzania kumlazimisha Nyerere kung'atuka

Baada ya Nyerere kuondoka na Kenya kutawala uchumi wa Afrika Mashariki , Kenya ilibadili mbinu za kuidhoofisha Tanzania na kuhamia kwenye mbinu za kudhoofisha mipango yote ya maendeleo ambayo inaweza kuifanya Tanzania ikawapiku kiuchumi

Njia kuu aliyotumia Kenya kudhoofisha mipango ya Maendeleo ya Tanzania ni siasa maana aligundua mambo yote ya kimandeleo ya Tanzania yanaamuliwa kisiasa

Kupitia siasa , Kenya alifanikiwa kudhoofisha miradi ifuatayo ya Tanzania na baada ya miradi iyo kukwama Tanzania akaenda kuifanya kwake

1. Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
Njia kuu aliyotumia Kenya kukwamisha mradi huu ni kueneza propaganda kuwa Bagamoyo anauziwa mchina. Hoja hii ilifanya mradi huu ukakwama Tanzania na hatimaye Kenya akatengeneza Bandari kama hiyo Lamu tena kwa kupitiq mchina huyo huyo

2. Mradi wa Satellite City, Kigamboni
Kenya alijua kigamboni ikifanikiwa basi ndo itakuwa Dubai ya kwanza Afrika Mashariki na akatumia propaganda kuwa George Bush amenunua kigamboni na siasa ile ikasabisha Tanzania tushindwe kuwa nchi ya 1 ukanda huu kuwa na satellite city. Sasa Kenya ndo imekuwa ya 1 baada ya kuanzisha mradi wa Konza City

Sasa ugonjwa huu umepatiwa Dawa:
Kiukweli maraisi takribani 5 wa Tanzania kutokana na kuendekeza kuwa populist walishindwa kujinasua kutoka kwenye mbinu hizi za Kenya. Ni Samia Suluhu Hassan aliyejaribu na napenda kusema anaenda kufanikiwa kwa kuzishinda propaganda za Kenya kwenye hili suala la Loliondo/ Ngorongoro

Ni ukweli usiopingika kuwa sasa Kenya anahangaika usiku kucha ili aimalize sekta ya utalii ya Tanzania ambayo kiuhalisia ndo tishio kubwa zaidi kwa uhai wake kiuchumi ambao unategemea hasa kiutalii

Ndoto kubwa ya Kenya ni kuua uti wa Mgongo wa utalii wa Tanzania ambayo ni kaskazini mwa Tanzania. Ukiongelea kaskazini wa Tanzania unaongelea Loliondo, Ngorongoro, Serengeti na kilimanjaro bila kusahau Manyara.

Njia pekee anayotegemea Kenya kufanikisha hili ni kuhakikisha siasa inatumika ipasavyo ili shughuli za kibinadamu zisikome kwenye mbuga hizi maana kwenye shughuli za kibinadamu mnyama hakai na pasipo na mnyama basi mtalii hawezi kuja.

Katika suala la Ngorongoro/ Loliondo, Kenya kaja na propaganda ya kisiasa kuwa eneo lote lile anapewa mwekezaji hivyo Wamasai hawatakiwi kuwepo

Propaganda hii kusema kweli imefeli vibaya sana na kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia tumeona propaganda za Kenya zikishindwa na Serikali ikitekeleza wajibu wake kwa Maslahi mapana ya Taifa

Hongera Samia! Huo ndo mwendo wa kwenda, Kenya wametuchelewesha sana!
Uhasama baina ya Kenya na Tanzania ni UTANI tu wa asili kama watoto mtu na mdogo wake wanavyokuwa na uhasama hapa na pale lakini wanabaki kuwa ndugu, nothing serious, joto kama hili huwa linapanda na kushuka katika vipindi tofauti, na hali itaendelea kuwa hivyo hivyo milele!
Mbona Tanzania ilipowahujumu Kenya na kuliteka bomba la mafuta kutoka Hoima kwenda Tanga badala ya Mombasa na kila kitu kilikuwa kimeshakamilika, lakini hujaandika kwamba trunataka kukwamisha maendeleo ya Kenya? Acheni kihemuhemu kama kuku mtetea anayetafuta kupandwa!
 
Miradi ya Bandari ya Bagamoyo na KIGAMBONI iliuliwa na Marehemu Mwendazake.
Je, mwendazake alikuwa na hoja au zilikuwa papara tu. Baadhi ya wahafidhina wanaulinganisha mradi wa Bagamoyo na ule wa Sri Lanka ambao umeiacha nchi mahututi kiuchumi na mchina amekaa pembeni utadhani hahusiki. Hata wakenya wanalizwa na deni la mradi wa SGR. Bado wakopeshaji, wajenzi na waendeshaji wa miradi yote ni wachina. Je, kuna ukweli katika ulinganisho huo. Tuelezane, na bila ushabiki, ukweli ni upi. Baada ya kupata ukweli ndipo tutaweza kumbembesha lawama mwendazake.
Miradi ya Bandari ya Bagamoyo na KIGAMBONI iliuliwa na Marehemu Mwendazake.
 
Wameshikwa papaya safari hii! Hawana pq kutokea

Na hatua ifuatayo tunagawa vitambulisho vya uraia kwa Watanzania wote Ngorongoro na Loliondo! Mtu akiingia lazima aoneshe kitambulisho safari hii
Kenya wanajiona wana akili nyingi yale yale ya Kagame na fitina za mpaka wa DRC. Hatimaye wakongomani wamechoshwa kuwatumikia watu fulani wachache tu.
 
Kenya watatuachaje nyuma wakati wanategemea almost kila kitu kutoka Tanzania?

Leo hii ukifungwa mpaka, athari kwa Tanzania itakuwa fedha ila kwa Kenya ni pesa na njaa juu
Mkuu, ni wazi huelewi 'dynamics' za nchi hizi mbili, hasa za hao Kenya zinavyofanya kazi. Ushauri wangu kwako, jaribu kuelewa wanavyoendesha mambo yao na msukumo unaowafanya wajibidishe ku'undermine' juhudi zetu kila mara.

Uchambuzi uliouweka pale juu ni 'shallow' sana.
 
Tangu Awamu wa 1 Kenya alijitanabaisha kama Silent enemy wa Tanzania na hii lilisababishwa na tofauti za kiitikadi/kiuchumi baina ya Mataifa haya mawili

Ugomvi wa Kenya na Tanzania ulianza mara tu baada ya Tanzania kutangaza kufuata mrengo wa kijamaa hapo mwaka 1967 na kilichofuata baada ya hapo ni vita vya ujasusi baina ya mataifa haya 2

Katika vita hii, Kenya waziwazi aliunga mkono watu waliokuwa either wanataka Tanzania isitawalike au waliokuwa wakizipinga serikali za Chama cha Mapinduzi.

Mfano tu:

Mwaka 1967 Kenya walitumika kumtorosha mpinzani wa 1 wa Nyerere aliyejitoa kwenye serikali Ndugu Oscar Kambona. Kambona baada ya kutofautiana na Nyerere alikimbilia Uingereza kupitia Nairobi

Mwaka 1981 Kenya walimtorosha aliyeongoza kikundi cha wanajeshi waliotaka kumpindua Mwl Nyerere ndugu Khatib Ghand

Kenya pia ilitumika kama njia ya kuwatorosha marubani walioteka ndege ya Tanzania kumlazimisha Nyerere kung'atuka

Baada ya Nyerere kuondoka na Kenya kutawala uchumi wa Afrika Mashariki , Kenya ilibadili mbinu za kuidhoofisha Tanzania na kuhamia kwenye mbinu za kudhoofisha mipango yote ya maendeleo ambayo inaweza kuifanya Tanzania ikawapiku kiuchumi

Njia kuu aliyotumia Kenya kudhoofisha mipango ya Maendeleo ya Tanzania ni siasa maana aligundua mambo yote ya kimandeleo ya Tanzania yanaamuliwa kisiasa

Kupitia siasa , Kenya alifanikiwa kudhoofisha miradi ifuatayo ya Tanzania na baada ya miradi iyo kukwama Tanzania akaenda kuifanya kwake

1. Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
Njia kuu aliyotumia Kenya kukwamisha mradi huu ni kueneza propaganda kuwa Bagamoyo anauziwa mchina. Hoja hii ilifanya mradi huu ukakwama Tanzania na hatimaye Kenya akatengeneza Bandari kama hiyo Lamu tena kwa kupitiq mchina huyo huyo

2. Mradi wa Satellite City, Kigamboni
Kenya alijua kigamboni ikifanikiwa basi ndo itakuwa Dubai ya kwanza Afrika Mashariki na akatumia propaganda kuwa George Bush amenunua kigamboni na siasa ile ikasabisha Tanzania tushindwe kuwa nchi ya 1 ukanda huu kuwa na satellite city. Sasa Kenya ndo imekuwa ya 1 baada ya kuanzisha mradi wa Konza City

Sasa ugonjwa huu umepatiwa Dawa:
Kiukweli maraisi takribani 5 wa Tanzania kutokana na kuendekeza kuwa populist walishindwa kujinasua kutoka kwenye mbinu hizi za Kenya. Ni Samia Suluhu Hassan aliyejaribu na napenda kusema anaenda kufanikiwa kwa kuzishinda propaganda za Kenya kwenye hili suala la Loliondo/ Ngorongoro

Ni ukweli usiopingika kuwa sasa Kenya anahangaika usiku kucha ili aimalize sekta ya utalii ya Tanzania ambayo kiuhalisia ndo tishio kubwa zaidi kwa uhai wake kiuchumi ambao unategemea hasa kiutalii

Ndoto kubwa ya Kenya ni kuua uti wa Mgongo wa utalii wa Tanzania ambayo ni kaskazini mwa Tanzania. Ukiongelea kaskazini wa Tanzania unaongelea Loliondo, Ngorongoro, Serengeti na kilimanjaro bila kusahau Manyara.

Njia pekee anayotegemea Kenya kufanikisha hili ni kuhakikisha siasa inatumika ipasavyo ili shughuli za kibinadamu zisikome kwenye mbuga hizi maana kwenye shughuli za kibinadamu mnyama hakai na pasipo na mnyama basi mtalii hawezi kuja.

Katika suala la Ngorongoro/ Loliondo, Kenya kaja na propaganda ya kisiasa kuwa eneo lote lile anapewa mwekezaji hivyo Wamasai hawatakiwi kuwepo

Propaganda hii kusema kweli imefeli vibaya sana na kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia tumeona propaganda za Kenya zikishindwa na Serikali ikitekeleza wajibu wake kwa Maslahi mapana ya Taifa

Hongera Samia! Huo ndo mwendo wa kwenda, Kenya wametuchelewesha sana!

Chanzo cha ugomvi ni Kenyatta kuukataa Muungano. Nyerere alitaka Kenya iungane na Tanganyika baada ya hizi nchi kupata uhuru tena alikuwa tayari kumwachia Kenyatta aongoze lakini Kenyatta alikataa. Muungano ukabaki kuwa wa Tanganyika na Zanzibar.
 
Tangu Awamu wa 1 Kenya alijitanabaisha kama Silent enemy wa Tanzania na hii lilisababishwa na tofauti za kiitikadi/kiuchumi baina ya Mataifa haya mawili

Ugomvi wa Kenya na Tanzania ulianza mara tu baada ya Tanzania kutangaza kufuata mrengo wa kijamaa hapo mwaka 1967 na kilichofuata baada ya hapo ni vita vya ujasusi baina ya mataifa haya 2

Katika vita hii, Kenya waziwazi aliunga mkono watu waliokuwa either wanataka Tanzania isitawalike au waliokuwa wakizipinga serikali za Chama cha Mapinduzi.

Mfano tu:

Mwaka 1967 Kenya walitumika kumtorosha mpinzani wa 1 wa Nyerere aliyejitoa kwenye serikali Ndugu Oscar Kambona. Kambona baada ya kutofautiana na Nyerere alikimbilia Uingereza kupitia Nairobi

Mwaka 1981 Kenya walimtorosha aliyeongoza kikundi cha wanajeshi waliotaka kumpindua Mwl Nyerere ndugu Khatib Ghand

Kenya pia ilitumika kama njia ya kuwatorosha marubani walioteka ndege ya Tanzania kumlazimisha Nyerere kung'atuka

Baada ya Nyerere kuondoka na Kenya kutawala uchumi wa Afrika Mashariki , Kenya ilibadili mbinu za kuidhoofisha Tanzania na kuhamia kwenye mbinu za kudhoofisha mipango yote ya maendeleo ambayo inaweza kuifanya Tanzania ikawapiku kiuchumi

Njia kuu aliyotumia Kenya kudhoofisha mipango ya Maendeleo ya Tanzania ni siasa maana aligundua mambo yote ya kimandeleo ya Tanzania yanaamuliwa kisiasa

Kupitia siasa , Kenya alifanikiwa kudhoofisha miradi ifuatayo ya Tanzania na baada ya miradi iyo kukwama Tanzania akaenda kuifanya kwake

1. Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo
Njia kuu aliyotumia Kenya kukwamisha mradi huu ni kueneza propaganda kuwa Bagamoyo anauziwa mchina. Hoja hii ilifanya mradi huu ukakwama Tanzania na hatimaye Kenya akatengeneza Bandari kama hiyo Lamu tena kwa kupitiq mchina huyo huyo

2. Mradi wa Satellite City, Kigamboni
Kenya alijua kigamboni ikifanikiwa basi ndo itakuwa Dubai ya kwanza Afrika Mashariki na akatumia propaganda kuwa George Bush amenunua kigamboni na siasa ile ikasabisha Tanzania tushindwe kuwa nchi ya 1 ukanda huu kuwa na satellite city. Sasa Kenya ndo imekuwa ya 1 baada ya kuanzisha mradi wa Konza City

Sasa ugonjwa huu umepatiwa Dawa:
Kiukweli maraisi takribani 5 wa Tanzania kutokana na kuendekeza kuwa populist walishindwa kujinasua kutoka kwenye mbinu hizi za Kenya. Ni Samia Suluhu Hassan aliyejaribu na napenda kusema anaenda kufanikiwa kwa kuzishinda propaganda za Kenya kwenye hili suala la Loliondo/ Ngorongoro

Ni ukweli usiopingika kuwa sasa Kenya anahangaika usiku kucha ili aimalize sekta ya utalii ya Tanzania ambayo kiuhalisia ndo tishio kubwa zaidi kwa uhai wake kiuchumi ambao unategemea hasa kiutalii

Ndoto kubwa ya Kenya ni kuua uti wa Mgongo wa utalii wa Tanzania ambayo ni kaskazini mwa Tanzania. Ukiongelea kaskazini wa Tanzania unaongelea Loliondo, Ngorongoro, Serengeti na kilimanjaro bila kusahau Manyara.

Njia pekee anayotegemea Kenya kufanikisha hili ni kuhakikisha siasa inatumika ipasavyo ili shughuli za kibinadamu zisikome kwenye mbuga hizi maana kwenye shughuli za kibinadamu mnyama hakai na pasipo na mnyama basi mtalii hawezi kuja.

Katika suala la Ngorongoro/ Loliondo, Kenya kaja na propaganda ya kisiasa kuwa eneo lote lile anapewa mwekezaji hivyo Wamasai hawatakiwi kuwepo

Propaganda hii kusema kweli imefeli vibaya sana na kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia tumeona propaganda za Kenya zikishindwa na Serikali ikitekeleza wajibu wake kwa Maslahi mapana ya Taifa

Hongera Samia! Huo ndo mwendo wa kwenda, Kenya wametuchelewesha sana!
2015 na 2020 mlidai ni Wapinzani ndiyo wanawachelewesha,imekuwa ni Kenya tena?CCM hakuna mnachoweza zaidi ya kutafuta vichochoro vya kusingizia wengine kwa matatizo mliyoyasababisha wenyewe!Mkenya gani aliyewaambia serikali ya CCM kuwa Wamasai ni waharibifu wa mazingira/uhifadhi?
Hizo propaganda zenu haziwezi kuwaponya.
Sisi Wananchi wa Tanzania tunataka kuandika Katiba Mpya kuanzia pale ilipoishia Rasimu ya Jaji Warioba.
 
Back
Top Bottom