Hatimaye dawa ya Kenya kukwamisha Maendeleo Tanzania imepatikana rasmi!

Hizi propaganda za kizee bado mnaamini zinaweza kuwateka watu? Mnaamini hatujui lolote kuhusu Loliondo, hivyo mnadhani mkitulisha huu uchafu ndio tutapotea maboya!
Unajua nini kuhusu loliondo na Ngorongoro zaidi ya kulishwa matango pori na propaganda za wakenya we muhuni?

Kama unajua lolote nope uthibitisho hapa sasaivi wa Ngorongoro na Loliondo kupewa mwekezaji. Weka ushahidi hapa jina la huyo mwekezaji, mkataba aliousaini na malipo qliyoyafanya.

Tufunge uzi!
 
Kenya watatuachaje nyuma wakati wanategemea almost kila kitu kutoka Tanzania?

Leo hii ukifungwa mpaka, athari kwa Tanzania itakuwa fedha ila kwa Kenya ni pesa na njaa juu
 
Kiongozi pekee wa Tanzania aliyewahi kuwashinda wakenya mpaka wenyewe wakasanda ni John Pombe Joseph Magufuli.. Yule bwana aliwapelekesha wakenya mpaka wakaanza kumuimba kwao Huko.. Japo naye aliwezwa kisawasawa na kagame
alipambana nao kwa kuchoma vifaranga? Vile viumbe hai alivyoviteketeza pasi na sababu vilimletea laana kubwa sana.


JESUS IS LORD
 
alipambana nao kwa kuchoma vifaranga? Vile viumbe hai alivyoviteketeza pasi na sababu vilimletea laana kubwa sana.


JESUS IS LORD
Kubwa alilofanya yule mzee ni kufungua kambi ya Jeshi pale Loliondo mwaka 2020.

Naye alifanyq kwa sehemu ingawa kwa sehemu kubwa alitumia sana mabavu kuliko akili
 
Hawa vibaraka wa Kenya hawatusumbui, ujumbe kwao ni mmoja tu. Mmasai wa Kenya aisha na kuchunga mifugo yake Kenya na Mmasai wa Tanzania aishi na kuchunga mifugo yake Tanzania
Japo ulichoandika kina ukweli, ila subiri wanaharakati koko na wale wamasai uchwara kutoka Kenya waje wawatetee mabwanyenye wao hapa jukwaani bila aibu.
 
Siishi Nairobi, wacha kukimbia ujinga ulioandika.

Mimi kutokuwahi kuona mkataba wowote hakunifanyi nikae kimya nisiulizie mikataba serikali inayoingia, sina tabia ya uchawa kama yako.

Narudia tena, utoto ulioandika wa kuwalaumu wakenya hauna maana, tatizo letu ni viongozi wetu kutokuwa na vipaumbele wanapoingia madarakani, na Samia wako in particular anahusika
 
Wewe ni Mkenya na upo Kenya

Huwezi kuwa Mtanzania kama unaunga mkono huu upuuzi unaofanyika dhidi ya Tanzania
 
Aliyekwamisha mradi wa Bandari ya Bagamoyo ni kenya au Magufuli!!??,mbona umeongea vitu vya kufikirika sana asubuhi hii mzee
 
Aliyekwamisha mradi wa Bandari ya Bagamoyo ni kenya au Magufuli!!??,mbona umeongea vitu vya kufikirika sana asubuhi hii mzee
magufuli aliingia chaka kwenye siasa zilizotengenezwa na propaganda za wakenya
 
Hoja zina ukweli lkn mambo mengi ni porojo yaliyolenga kumsifia rais aliyepo basi.
1. Huwezi kuwa na Bagamoyo ambayo ina lengonla kudhoofisha bandari zingine ktk bahari ya hindi i e Tanga, Dar na Mtwara. Ukitegemea mizigo yooote itembee barabarani hadi Mtwara.

Huwezi kuwa Kigamboni city au the Diamond city kwa kupora ardhi kibabe. Hii ndio maana inaleta ukakasi kule LOLIONDO halafu useme Kenya amefanya ujasusi. Kwanini usitumie njia sahihi za kisheria? Basi Kenya wameanzia kwako kukuharibu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Bandari ya Lamu imeua bandari ya Mombasa hapo Kenya?

Bandari ya Dar ina Gati 12, Bandari ya Mombasa ina Gati 22, Bandari ya Lamu ina Gati 40. Unategemea Tanzania ataweza kushindana na Kenya kwenye sekta ya Bandari?

Huo ujinga unautoa wapi?
 
Mimi mtanzania 100% na ninaipenda Tanzania kufa mtu, nawashauri watanzania tuache upuuzi tuchape kazi, mchawi wa maendeleo ya TZ ni watanzania wenyewe tuache kulaumu watu wengine, umaskini wetu na shida zetu tujilaumu wenyewe na sio mtu mwingine
Kwanza wewe uko matawi ya juu halafu unaleta propaganda za kitoto.
 
Hoja dhaifu kweli .

Hivi unafahamu Raila Odinga alikua na passport ya Tanzania na alipata hifadhi kukwepa kuuwawa kwao huko na utawala dhalimu wa Moi?

Na unafahamu hata wapinzani kama Miguna Miguna aliyetorokea uhamishoni Canada alipita Tanzania, kwahiyo wao kumpitisha Kambona umeona ni issue kubwa?
 
Hawa vibaraka wa Kenya hawatusumbui, ujumbe kwao ni mmoja tu. Mmasai wa Kenya aisha na kuchunga mifugo yake Kenya na Mmasai wa Tanzania aishi na kuchunga mifugo yake Tanzania
Kweli mkuu. Si unaona humu tulivyowabana vya kujambia mpaka wameamua kukimbia post zao wenyew. Manyang'au walitegemea kupata uungwaji mkono mkubwa kupitia mazezeta yao humu mitandaoni, lakini bakora walizochezea wao na mazezeta yao, sizani kama wataendelea kuandika ujinga ujinga tena kama mwanzo.
 
Magufuli alipambana nao ila alitumia sana nguvu kuliko akili

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hizo akili ziko wapi kwanini zisitumiwe? Au nani anazo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Espionage inajibiwaga kwa counter espionage

Hakuna hoja dhaifu! Wewe ndo uelewa wako uko finyu
 
Wameshikwa papaya safari hii! Hawana pq kutokea

Na hatua ifuatayo tunagawa vitambulisho vya uraia kwa Watanzania wote Ngorongoro na Loliondo! Mtu akiingia lazima aoneshe kitambulisho safari hii
 
MAPAMBIO yanaendelea.

Muda utaongea. Amen
 

Tulia muimba mapambio, hata ukipewa utasaidia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…