Hatimaye dawa ya Kenya kukwamisha Maendeleo Tanzania imepatikana rasmi!

Magufuli alipambana nao ila alitumia sana nguvu kuliko akili
Kwahiyo samia anayo akili hata moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] your very [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Nashangaa wanamsifu chifu mavi wakati ni majuzi tu alikuwa anatukana JPM kuhusu misimamo yake na kenya huyu chifu mafii hana mwelekeo wowote ni wapumbavu tu wanaoweza kumuelewa
Ukielewa diplomasia ya uchumi huwezi kuandika huu upuuzi ulioandika hapa

Umeshawai ona Rais wa Marekani akiisema vibaya Urusi anapokutana na Rais wa Urusi?
 
Kwako uzalendo ni kuwa zezeta kutetea kila kitu mpaka cha kijinga.
Kutetea maslahi ya sekta inayochangia asillimia 17-23 ya pato la Taifa na fedha za kigeni isife kwa maslahi ya Kenya ni ujinga??

Amka nenda katafute kibarua hapo Nairobi
 
Kiongozi pekee wa Tanzania aliyewahi kuwashinda wakenya mpaka wenyewe wakasanda ni John Pombe Joseph Magufuli.. Yule bwana aliwapelekesha wakenya mpaka wakaanza kumuimba kwao Huko.. Japo naye aliwezwa kisawasawa na kagame
Kagame???
 
Kwahiyo samia anayo akili hata moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] your very [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
Samia ana akili tena nyingi sana
 
Siku zote mambo yakikushinda unatupia lawama wengine, Tanzania kila tukishindwa kitu lawama kwa wakenya sio sawa lazima tujitathmini
 
Insha ndeefu kumbe hoja ni kumpongeza Hangaya
 
Wewe ni Mkenya na upo Kenya

Huwezi kuwa Mtanzania kama unaunga mkono huu upuuzi unaofanyika dhidi ya Tanzania
Loh! Inamaana ukiwa upande wa Wamasai unakuwa si Mtanzania, unakuwa si Mzalendo Kwa kuwapigania Watanzania wenzangu. [emoji38]
 
Hoja yake ya msingi (mpambano wa kiuchumi) ni ya msingi, lakini vikorombwezo alivyotumia kuijenga hiyo hoja vingi ni porojo na mambo ya kufikirika tu
Kweli hoja yake kubwa ipo kwenye mgogoro wa Loliondo na Ngorongoro basi. Huko juu amechemka na hajui. 1967 hakukuwa na CCM kulikuwa na TANU na ASP. CCM imezaliwa 1977.
 
Kweli hoja yake kubwa ipo kwenye mgogoro wa Loliondo na Ngorongoro basi. Huko juu amechemka na hajui. 1967 hakukuwa na CCM kulikuwa na TANU na ASP. CCM imezaliwa 1977.
Kwani Ccm imetokana na nini?
 
Loh! Inamaana ukiwa upande wa Wamasai unakuwa si Mtanzania, unakuwa si Mzalendo Kwa kuwapigania Watanzania wenzangu. [emoji38]

Jiulize kwanza hao wakenya waliingiaje? Ushindwe kulinda mipaka yako leo tukupongeze never, sawa na warundi na wanyarwanda ambao tayari wamepata namba za NIDA mikoa ya kigoma, kagera, Geita na Mwanza kesho mkiwakamata tuwapongeze wakati walikua wanatoa rushwa ya laki moja wanaandikishwa kama raia au kwakua hatusemi mnatuona mazuzu sio,
 
Wameshikwa papaya safari hii! Hawana pq kutokea

Na hatua ifuatayo tunagawa vitambulisho vya uraia kwa Watanzania wote Ngorongoro na Loliondo! Mtu akiingia lazima aoneshe kitambulisho safari hii
Akili ndogo bana!!!

Kwahiyo na Nyumbu na swala watapewa vitambulisho vya uraia Ili wasivuke mpaka kwenda Kenya?

Kupanda Bei za bidhaa ni vita ya Russia vs Ukraine!!!

Kutokamilika bwawa la jkn, ni crane Toka mars halijafika.!!!

Kukatika umeme sababu ni miundombinu mibovu na SOFTWARE ya kisasa haipo kuratibu data!!!!

Mauwaji yote yanayoendelea hd sasa chanzo ni mwzake na S. Gang!!!

Magaidi wote walitoka CDM!!!

Wanaomkosoa marope, wanataka UWAZIRI wake na hawakupenda yule awe Rais!!!

Mgogoro wa Roliondo ni Kweli Kuna mkono wa Jirani, bt vp kuhusu Ngorongoro? Mbona mmekiri kuruhusu wanyama hai waende Kwa mwarabu?

Kigamboni kunusurika kuuzwa ni husuda za majirani zetu!!



Yaan saiz ni mwendo wa Kuchambana.😠😠😠
 
WE ARE BLAMING KENYANS FOR OUR FAILURES
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…