Yeye kaona picha na neno Alhamdulillah, eti kapost diamond kanunua ndege.
Mashabiki bwana, au umesahau rolls royce waliwahi post picha ya gari wakiipandisha ndege ya mizigo kuwa inakuja tanzania kwa mteja, ikaanzishwa thread humu kuwa mteja ni diamond wakati hata jina la mteja hawakuwa wamelitaja. [emoji23][emoji23][emoji23] Mashabiki bwana
Mbona viti kama vya noaDiamond ametimiza ndoto yake ya kuwa na ndege binafsi.
Anakuwa msanii wa pili Africa kuwa na private jet.
Mdogo mdogo watakubali tu level za Diamond ni kubwa sana kwa sasa.
Kuna swali naona linaulizwa sana huko insta eti anawezaje kumiliki Jet wakati amepanga nyumba....Soon mtajibiwa kwa vitendo, inaweza ikawa ni kitu kikubwa kuwai tokea Africa nzima. [emoji4][emoji4][emoji4]
View attachment 1762066View attachment 1762065
HahahahahahSio kila mtu anahayo makitu aisee acha kuyashusha hadhi...😆
Kuna wengi hawana na waliyonayo ni functionless.
Usiyafananishe na vitu vya ajabu ajabu
Wapuuzi nyie mmeona Hamo kaachia ngoma mmekuja na jambo lenu la kupoteza maboyaDiamond ametimiza ndoto yake ya kuwa na ndege binafsi.
Anakuwa msanii wa pili Africa kuwa na private jet.
Mdogo mdogo watakubali tu level za Diamond ni kubwa sana kwa sasa.
Kuna swali naona linaulizwa sana huko insta eti anawezaje kumiliki Jet wakati amepanga nyumba....Soon mtajibiwa kwa vitendo, inaweza ikawa ni kitu kikubwa kuwai tokea Africa nzima. 😊😊😊
View attachment 1762066View attachment 1762065
Mlisema hawezi, jamaa kaing'oa yard mmeanza ooh seat kama za kimbinyiko daaah wabongo nimewavulia kofiaMbona seat zenyewe ni Kama za mwendokasi wa kimara!!au UDA
Hawezi kuchukua private jet.......jet mnafananisha na bajaj eenh...Mlisema hawezi, jamaa kaing'oa yard mmeanza ooh seat kama za kimbinyiko daaah wabongo nimewavulia kofia
Harmo Hana uwezo wwte ule, may be tuseme yeye ndo anatumia Kiki kujilinganisha na Mond au WCB kitu ambacho ni mbingu na duniaKweli harmonize anawapeleka puta, hii yote ni "attitude" ndio inaleta shida kule upande wa pili
Umeongea!!🙌🏿✔️✔️✔️👊🏿 Ila kuna maboya watabisha!Private Jet sio makende kwamba kila mtu anayo!
Unazungumzia more than 30B cash money! Hio hela huyo ndugu yenu hana bana asitafute kiki za ajabu! Maintanace tu ya ndege inaitoa jasho serikali ndio atakuwa huyo fara from Tandale?
Nani ashughulishwe na wimbo uliochuja within 2 hours tangu uachiwe?Wapuuzi nyie mmeona Hamo kaachia ngoma mmekuja na jambo lenu la kupoteza maboya
Hahahah daah chalii angu umechafukwa.Private Jet sio makende kwamba kila mtu anayo!
Unazungumzia more than 30B cash money! Hio hela huyo ndugu yenu hana bana asitafute kiki za ajabu! Maintanace tu ya ndege inaitoa jasho serikali ndio atakuwa huyo fara from Tandale?
Mbona unatrendNani ashughulishwe na wimbo uliochuja within 2 hours tangu uachiwe?
Kutrend hata amber ruty alitrend. Alafu mbona mnalazimisha sana kupambana na wasafi kwani hamuwezi kufanya mziki wenu bila kuhusisha wasafi?Mbona unatrend