Hatimaye Diamond anunua Private Jet

Hatimaye Diamond anunua Private Jet

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yeye kaona picha na neno Alhamdulillah, eti kapost diamond kanunua ndege.
Mashabiki bwana, au umesahau rolls royce waliwahi post picha ya gari wakiipandisha ndege ya mizigo kuwa inakuja tanzania kwa mteja, ikaanzishwa thread humu kuwa mteja ni diamond wakati hata jina la mteja hawakuwa wamelitaja. [emoji23][emoji23][emoji23] Mashabiki bwana
 
Diamond ametimiza ndoto yake ya kuwa na ndege binafsi.

Anakuwa msanii wa pili Africa kuwa na private jet.

Mdogo mdogo watakubali tu level za Diamond ni kubwa sana kwa sasa.

Kuna swali naona linaulizwa sana huko insta eti anawezaje kumiliki Jet wakati amepanga nyumba....Soon mtajibiwa kwa vitendo, inaweza ikawa ni kitu kikubwa kuwai tokea Africa nzima. [emoji4][emoji4][emoji4]
View attachment 1762066View attachment 1762065
Mbona viti kama vya noa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda ni mwalimu mzuri ngoja tuone siku akirejea nchini je atakuwa na emirate/ethiopia air line au private Jet yake?

Muda ni mtu mwaminifu sana
 
Diamond ametimiza ndoto yake ya kuwa na ndege binafsi.

Anakuwa msanii wa pili Africa kuwa na private jet.

Mdogo mdogo watakubali tu level za Diamond ni kubwa sana kwa sasa.

Kuna swali naona linaulizwa sana huko insta eti anawezaje kumiliki Jet wakati amepanga nyumba....Soon mtajibiwa kwa vitendo, inaweza ikawa ni kitu kikubwa kuwai tokea Africa nzima. 😊😊😊
View attachment 1762066View attachment 1762065
Wapuuzi nyie mmeona Hamo kaachia ngoma mmekuja na jambo lenu la kupoteza maboya
 
Private Jet sio makende kwamba kila mtu anayo!
Unazungumzia more than 30B cash money! Hio hela huyo ndugu yenu hana bana asitafute kiki za ajabu! Maintanace tu ya ndege inaitoa jasho serikali ndio atakuwa huyo fara from Tandale?
Umeongea!!🙌🏿✔️✔️✔️👊🏿 Ila kuna maboya watabisha!
 
Private Jet sio makende kwamba kila mtu anayo!
Unazungumzia more than 30B cash money! Hio hela huyo ndugu yenu hana bana asitafute kiki za ajabu! Maintanace tu ya ndege inaitoa jasho serikali ndio atakuwa huyo fara from Tandale?
Hahahah daah chalii angu umechafukwa.
 
Ile rolls Royce ikowapi kwanza maana decade sasa tangu mbwembwe itungwe
 
Back
Top Bottom