Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kuna vitu tunalaumu lakini hata sisi tukipata nafasi hizo na wengine tunavijinafasi fulani fulani tunawabania na kuwapa ndugu zetu...........Amesaini mikataba mizito Sana huyu dogo.
Halafu Magu alikua na nepotism mno. Kila ndugu yake aliyekua anajua angalau kusoma na kuandika alimpa sehemu ambayo pesa haikauki.