Hatimaye Dotto James aonekana hadharani

Hatimaye Dotto James aonekana hadharani

Dotto James ni mpwa wa marehemu Magufuli. Magufuli alimtoa TANROADS kama ofisa wa kwaida kwenye uhasibu. Akamsogeza Wizara ya fedha kuwa Naibu KM wakati wa Likwelile. Kisha akamtoa Likwelile na kumpa Dotto James u-Katibu Mkuu hazina. Katibu Mkuu Hazina ndiye Mlipaji Mkuu wa Serikali.

Bado wajinga wanadai Magufuli aliuwa mzalendo. Mzalendo gani umaeeka mtoto wa.dada yako kwenye kazi nyeti kama hiyo?? Wizi mtupu
Hata angekuwa nani ukishapata nafasi pachika nduguzo wa kutosha
 
Hatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha, Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu.

Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania.

Huyu hapa

View attachment 2937681View attachment 2937682
Times change. It reminds me of conducting my affairs in a humble manner
 
Amesaini mikataba mizito Sana huyu dogo.
Halafu Magu alikua na nepotism mno. Kila ndugu yake aliyekua anajua angalau kusoma na kuandika alimpa sehemu ambayo pesa haikauki.

This was his weakness. Kuangalia upande mmoja tu. Otherwise alikuwa binadamu na kila binadamu ana issues zake
 
Labda alikuwa Copenhagen huko akicheza mbina! Maana Copenhagen ina mahusiano ya kibalozi na gwambina wa kisukuma! Hapa Copenhagen wasukuma wapo wengi sana ni wacheza ngoma za kisukuma(mbina)
Dah,

Umenikumbusha miaka ya 1980s kuna Msukuma alitoka Mwanza huko hata Dar hajawahi kufika alikuwa anachujua ndege kwenda Copenhagen kucheza ngoma, alikuwa hana sehemu ya kufikia Dar akafikia kwetu.

Kwa hivyo naweza kujubali maneno yako.
 
Dotto James ni mpwa wa marehemu Magufuli. Magufuli alimtoa TANROADS kama ofisa wa kwaida kwenye uhasibu. Akamsogeza Wizara ya fedha kuwa Naibu KM wakati wa Likwelile. Kisha akamtoa Likwelile na kumpa Dotto James u-Katibu Mkuu hazina. Katibu Mkuu Hazina ndiye Mlipaji Mkuu wa Serikali.

Bado wajinga wanadai Magufuli aliuwa mzalendo. Mzalendo gani umaeeka mtoto wa.dada yako kwenye kazi nyeti kama hiyo?? Wizi mtupu
Lile lijamaa lilikuwa likabila na jizi.
 
Back
Top Bottom