Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
Na wewe tafuta gepu uibe tu lawama si suluhu la matatizo yakoMajizi makubwa!
waliona hii nchi ya kwao majizi haya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe tafuta gepu uibe tu lawama si suluhu la matatizo yakoMajizi makubwa!
waliona hii nchi ya kwao majizi haya!
Hata angekuwa nani ukishapata nafasi pachika nduguzo wa kutoshaDotto James ni mpwa wa marehemu Magufuli. Magufuli alimtoa TANROADS kama ofisa wa kwaida kwenye uhasibu. Akamsogeza Wizara ya fedha kuwa Naibu KM wakati wa Likwelile. Kisha akamtoa Likwelile na kumpa Dotto James u-Katibu Mkuu hazina. Katibu Mkuu Hazina ndiye Mlipaji Mkuu wa Serikali.
Bado wajinga wanadai Magufuli aliuwa mzalendo. Mzalendo gani umaeeka mtoto wa.dada yako kwenye kazi nyeti kama hiyo?? Wizi mtupu
Dunia uwanja wa fujo ukipata nafasi ya kutamba tamba kabisaDoto na huyo Ngusa walikuwa hawagusiki enzi zao.
Utawala wa magufuli sijui walijua wataishi milele.Wanadai alimnyonga kwa mikono yake mwenyewe na kumvisha jezi ya Chelsea kabla ya kumtundika mwili wake mtin maporini huko.
View attachment 2937966
Coach Slamah Hamad
Times change. It reminds me of conducting my affairs in a humble mannerHatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha, Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu.
Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania.
Huyu hapa
View attachment 2937681View attachment 2937682
Amesaini mikataba mizito Sana huyu dogo.
Halafu Magu alikua na nepotism mno. Kila ndugu yake aliyekua anajua angalau kusoma na kuandika alimpa sehemu ambayo pesa haikauki.
Dah,Labda alikuwa Copenhagen huko akicheza mbina! Maana Copenhagen ina mahusiano ya kibalozi na gwambina wa kisukuma! Hapa Copenhagen wasukuma wapo wengi sana ni wacheza ngoma za kisukuma(mbina)
Kwamba hata elisha eliya naye kulikuwa na namna?Redio mbao aliwachongea kina lwajaba,elisha eliya na yule mtangazaji wa DW wakaripu
We ni mpu...mbavuHuwezi linganisha tamisemi na KM fedha mkuu.
Pili mkwe hajabebwa anajiweza sana
Ndio, kwani unaumia mkuu?
Sukuma Gang hiyo!!!Dah watu wamenuna kweli kweli.
RIP JPM🥲.
Lile lijamaa lilikuwa likabila na jizi.Dotto James ni mpwa wa marehemu Magufuli. Magufuli alimtoa TANROADS kama ofisa wa kwaida kwenye uhasibu. Akamsogeza Wizara ya fedha kuwa Naibu KM wakati wa Likwelile. Kisha akamtoa Likwelile na kumpa Dotto James u-Katibu Mkuu hazina. Katibu Mkuu Hazina ndiye Mlipaji Mkuu wa Serikali.
Bado wajinga wanadai Magufuli aliuwa mzalendo. Mzalendo gani umaeeka mtoto wa.dada yako kwenye kazi nyeti kama hiyo?? Wizi mtupu
Ataipata wapi hiyo nafasi?kwamba sasa hivi hawezi kumjibu mtu atakavyo
bado ana nafasi kubwa ya kutujibu atakavyo isipokuwa wachache sana ila wengi wetu bado anatujibu atakavyo
CCM ni majizi.Mbona maza kaweka mkwe wake TAMISEMI?
hatari snCCM ni majizi.
Acha ujinga.Kuna vitu tunalaumu lakini hata sisi tukipata nafasi hizo na wengine tunavijinafasi fulani fulani tunawabania na kuwapa ndugu zetu...........
Mjomba ni Mama"........tangu kufariki kwa mjomba wake........." duh