Hatimaye DSTV wakongwe wa digitali waachia local channels

Hatimaye DSTV wakongwe wa digitali waachia local channels

bafetimbi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2018
Posts
1,085
Reaction score
1,741
Habari waungwana..... Huu ndiyo muda muafaka wa kuwahama azam na kwenda kwenye full hd DSTV maana kifurushi cha Azam cha bei ya juu TSH 35,000 channel zake hazifikii kifurushi cha DSTV cha TSH 21,000.

Kwaherini Azam mlinifaa Sana kwa kipindi nilichokuwa nanyi na huu ndiyo muda rasmi wa kuwahama. Ndugu bakhresa usijisikie mnyonge maana bado tutaendeleea kushirikiana katika huduma zingine kama vile, unga wa maandazi, juici za ukwaju, mikate na kadhalika, Ila kwa upande wa king'amuzi kwaheri Mzee.

Wako katika ujenzi wa Taifa...

Bafetimbi
 
Habari waungwana..... Huu ndiyo muda muafaka wa kuwahama azam na kwenda kwenye full hd DSTV maana kifurushi cha Azam cha bei ya juu TSH 35,000 channel zake hazifikii kifurushi cha DSTV cha TSH 21,000.

Kwaherini Azam mlinifaa Sana kwa kipindi nilichokuwa nanyi na huu ndiyo muda rasmi wa kuwahama. Ndugu bakhresa usijisikie mnyonge maana bado tutaendeleea kushirikiana katika huduma zingine kama vile, unga wa maandazi, juici za ukwaju, mikate na kadhalika, Ila kwa upande wa king'amuzi kwaheri Mzee.

Wako katika ujenzi wa Taifa...

Bafetimbi
Azam wana watumiaji lak nane dstv lak na nusu, sasa hapo mnyonge nani?
 
Simply waswahili sisi hatuna uwezo wa ku afford DSTV

Azam si wana mpaka kifurushi cha mia5 sijui kwa siku
Unajua mmekalili kauli za zamani Sana kwamba eti dstv ni ya washua wakati siku hizi sio kweli, nakwambia ukiingia dstv utajuta hivi ilikuwa wapi siku zote. Sasa we nunua hicho cha Azam cha 5000 uone channel zake kama hutazima TV ukalale. Dstv Yuko Africa nzima wakati azam hata kenya Tu hapo hawamjui
 
Sasa nunua hicho cha 5000 uone channel zake kama hutazima TV ukalale. Dstv Yuko Africa nzima wakati azam hata kenya Tu hapo hawamjui
Hata DSTV chini ya kifurushi cha 21000 hakuna kitu... Mimi nalipgiaga cha 31000 coz mimi kwenye TV napenda channel 3 tu, natgeo 181, 171 iDX na ile discovery nyingine wanaoneshaga mapigano ya robots. Azam pia hizi zote anazo
Lakini kwa mtu mpenzi wa movie hata hiki hakifai
 
Hata DSTV chini ya kifurushi cha 21000 hakuna kitu... Mimi nalipgiaga cha 31000 coz mimi kwenye TV napenda channel 3 tu, natgeo 181, 171 iDX na ile discovery nyingine wanaoneshaga mapigano ya robots. Lakini kwa mtu mpenzi wa movie hata hiki hakifai
Inamaana wewe ni mdau wa madocumentaries, vipi cha muvi nzuri dstv kinaazia TSH ngapi?
 
Cha muvi nzuri kinaazia TSH ngapi
50 huko napo muda mwingi utakumbana na movie ushaziona. Kama unaweza una smart tv unalipia kifurshi cha 9000 unalipia tena showmax humo humo. Sema hii inanoga ukiwa na fiber internet
 
Unajua mmekalili kauli za zamani Sana kwamba eti dstv ni ya washua wakati siku hizi sio kweli, nakwambia ukiingia dstv utajuta hivi ilikuwa wapi siku zote. Sasa we nunua hicho cha Azam cha 5000 uone channel zake kama hutazima TV ukalale. Dstv Yuko Africa nzima wakati azam hata kenya Tu hapo hawamjui
Braza ulichokiandika we ukikisoma utaelewa? Emu jaribu…
 
Dstv ya elf 21 haiipiti azam ya 35 hata siku 1 labda kama umesema tu kimahaba.......azam kuna mengi zaidi ya hizo tamthilia
Ile package ya Azam ya 35,000 ina Chanel nyingi kweli lakini ukichunguza kwa Malini tumepigwa changa la macho pale maana wamejaza machanel ya kihindi kibao ambayo hutakuja kuangalia hata siku moja lakini umelipia
 
Back
Top Bottom