MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
Yes.. hilo ndio la Msingi.Nimekupata mkuu. Itabidi nimtafute fundi tu palepale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes.. hilo ndio la Msingi.Nimekupata mkuu. Itabidi nimtafute fundi tu palepale.
Nimekuelewa shupiwe.Nimewambia dstv kifurushi cha family waanzishe utaratibu watu wawe wanalipia buku perday watapata watumiaji wengi wanaofuatilia huba na mpali
Hizo takwimu umetoka wapi na pia azam atabakia kuwa mnyonge mbele ya dstv Maisha yake yoote.
Kwanza Azam Yuko country wide wakati mwenzie dstv yuko all over the continent, vipi mpaka hapo bado hujajua nani mnyonge?
Kifurushi kikali kabisa Dstv ni sh ngapi?Hata DSTV chini ya kifurushi cha 21000 hakuna kitu... Mimi nalipgiaga cha 31000 coz mimi kwenye TV napenda channel 3 tu, natgeo 181, 171 iDX na ile discovery nyingine wanaoneshaga mapigano ya robots. Azam pia hizi zote anazo
Lakini kwa mtu mpenzi wa movie hata hiki hakifai
Mimi sizipendi kweli hiyo movieNyie huko Azam si mnapenda etugul tu
Dstv ukitaka kuifaidi angalau uanzie kifurushi cha compact ambacho sasa chanel nyingi za maana nazo wanazipeleka compact plus chini ya hapo bora azam tuKifurushi kikali kabisa Dstv ni sh ngapi?
Movies nzuri zinanzia compact plus uko...uku kwingine pumba tupuInamaana wewe ni mdau wa madocumentaries, vipi cha muvi nzuri dstv kinaazia TSH ngapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Atakua Tombi uyoNimekuelewa shupiwe.
Haiwezekani kwani Azam ipo angle ya 7e while dstv 36e pia kama ni channel za dini zipo za kutosha angle ya 68.5e dini yoyote unayoinua wewe dunianiKule mkoani kuna king'amuzi cha dishi cha azam hakiwaki, kimekorofisha. Hivi si ninaweza kwenda na cha dstv nikapachika tu pale! Waliopo nyumbani haina haja ya azam kwa sababu hawamjui hata mchezaji mmoja wa ligi kuu.
Hiyo DSTV ina channel za dini ya kristo?
Azam wana kifurushi cha Jero? KhaSimply waswahili sisi hatuna uwezo wa ku afford DSTV
Azam si wana mpaka kifurushi cha mia5 sijui kwa siku
Ata compact plus hamna movies nzuri. Yingi ni za zamani. Huku ni boli tuuMovies nzuri zinanzia compact plus uko...uku kwingine pumba tupu
Ni kweli watu wanashindwa kuelewa kubafiri fikra.Unajua mmekalili kauli za zamani Sana kwamba eti dstv ni ya washua wakati siku hizi sio kweli, nakwambia ukiingia dstv utajuta hivi ilikuwa wapi siku zote. Sasa we nunua hicho cha Azam cha 5000 uone channel zake kama hutazima TV ukalale. Dstv Yuko Africa nzima wakati azam hata kenya Tu hapo hawamjui
Siwezi ondoka dstv ni habari nyingine ila watu hawajuiUnajua mmekalili kauli za zamani Sana kwamba eti dstv ni ya washua wakati siku hizi sio kweli, nakwambia ukiingia dstv utajuta hivi ilikuwa wapi siku zote. Sasa we nunua hicho cha Azam cha 5000 uone channel zake kama hutazima TV ukalale. Dstv Yuko Africa nzima wakati azam hata kenya Tu hapo hawamjui
Startimes ni tbc hao🤣🤣🤣😂😂 wanajitengenezea mazingira tu waongo hao, ya kwanza ni dstv ukitembea mikoani ndipo utapata jibu dstv wapo juu halafu watu hununua vifurushi hivi coz honekana ni matajiri watupu wapo humu tangu kitambo ukionekana una dstv huonekana upo juu kimaisha kiutajiri na hii ikapelekea ushindani mwingi wa kununua visimbuzi hivi so mimi ninauhakika dstv ina qatu wengi sana tuNi za TCRA anaanza startimes anafuata Azam