Hatimaye DSTV wakongwe wa digitali waachia local channels

Hatimaye DSTV wakongwe wa digitali waachia local channels

Startimes ni tbc hao🤣🤣🤣😂😂 wanajitengenezea mazingira tu waongo hao, ya kwanza ni dstv ukitembea mikoani ndipo utapata jibu dstv wapo juu halafu watu hununua vifurushi hivi coz honekana ni matajiri watupu wapo humu tangu kitambo ukionekana una dstv huonekana upo juu kimaisha kiutajiri na hii ikapelekea ushindani mwingi wa kununua visimbuzi hivi so mimi ninauhakika dstv ina qatu wengi sana tu
Sio kweli DSTV walipoteza wateja sana kipindi cha JPM mpaka wakapunguza wafanyakazi kwa kiasi kikubwa. Nna mtu alikiwa anafanya huko na ndiye aliyenipa decoder ya dstv demo ambayo hulipii nitumie kwa muda maana yeye kasafiri
 
Habari waungwana..... Huu ndiyo muda muafaka wa kuwahama azam na kwenda kwenye full hd DSTV maana kifurushi cha Azam cha bei ya juu TSH 35,000 channel zake hazifikii kifurushi cha DSTV cha TSH 21,000.

Kwaherini Azam mlinifaa Sana kwa kipindi nilichokuwa nanyi na huu ndiyo muda rasmi wa kuwahama. Ndugu bakhresa usijisikie mnyonge maana bado tutaendeleea kushirikiana katika huduma zingine kama vile, unga wa maandazi, juici za ukwaju, mikate na kadhalika, Ila kwa upande wa king'amuzi kwaheri Mzee.

Wako katika ujenzi wa Taifa...

Bafetimbi
Tatizo Dstv huwezi kumuona Mayele
 
Habari waungwana..... Huu ndiyo muda muafaka wa kuwahama azam na kwenda kwenye full hd DSTV maana kifurushi cha Azam cha bei ya juu TSH 35,000 channel zake hazifikii kifurushi cha DSTV cha TSH 21,000.

Kwaherini Azam mlinifaa Sana kwa kipindi nilichokuwa nanyi na huu ndiyo muda rasmi wa kuwahama. Ndugu bakhresa usijisikie mnyonge maana bado tutaendeleea kushirikiana katika huduma zingine kama vile, unga wa maandazi, juici za ukwaju, mikate na kadhalika, Ila kwa upande wa king'amuzi kwaheri Mzee.

Wako katika ujenzi wa Taifa...

Bafetimbi
unaonekana ww ni bendera fata upepo kwani uwez kuhama kimya kimya....dstv ni wakongwe lkn ujio
wao ni bora zaidi.
 
Unajua mmekalili kauli za zamani Sana kwamba eti dstv ni ya washua wakati siku hizi sio kweli, nakwambia ukiingia dstv utajuta hivi ilikuwa wapi siku zote. Sasa we nunua hicho cha Azam cha 5000 uone channel zake kama hutazima TV ukalale. Dstv Yuko Africa nzima wakati azam hata kenya Tu hapo hawamjui

Chuki zinakusumbua.....kwa asilimia kubwa unaishi kutegemea huduma za azam
 
Azam waongeze channel za cartoon ikiwemo Nicholedion kwenye kifurushi Cha sh. 23,000 ili watoto nao wafurahie Kama mnavyotufurahisha sisi wakubwa kwa channel za sports zenye mipira. Kuweka channel hizo za cartoon katika kifurushi Cha 35,000 ni kukoseshana raha na kuumizana!
 
Dstv ni wahuni sana,serikali kuna haja ya kuingilia kati hawa jamaa kwa makusudi hawaonyeshi local channels.
 
Habari waungwana..... Huu ndiyo muda muafaka wa kuwahama azam na kwenda kwenye full hd DSTV maana kifurushi cha Azam cha bei ya juu TSH 35,000 channel zake hazifikii kifurushi cha DSTV cha TSH 21,000.

Kwaherini Azam mlinifaa Sana kwa kipindi nilichokuwa nanyi na huu ndiyo muda rasmi wa kuwahama. Ndugu bakhresa usijisikie mnyonge maana bado tutaendeleea kushirikiana katika huduma zingine kama vile, unga wa maandazi, juici za ukwaju, mikate na kadhalika, Ila kwa upande wa king'amuzi kwaheri Mzee.

Wako katika ujenzi wa Taifa...

Bafetimbi
mpira wa timu pendwa ya WANANCHI utaoneshwa huko DSTV ?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Jana Mhe Nape alikuwa online ktk forum moja basi baadhi ya watz ni waajabu sana badala ya kumuuliza issues kama izi ..wao wakawa wana muuliza eti issue za tweet ya kiroboto,, mara rushwa ya ngono

Yaan nilimkumbuka magu fasta
 
Jana Mhe Nape alikuwa online ktk forum moja basi baadhi ya watz ni waajabu sana badala ya kumuuliza issues kama izi ..wao wakawa wana muuliza eti issue za tweet ya kiroboto,, mara rushwa ya ngono

Yaan nilimkumbuka magu fasta
baada ya kumkumbuka magu ulichukua hatua gani
 
Wanadai si mda wataziweka free, jirani yangu ye local zinasoma hata asipolipia
 
Hukuwa na ulazima wa kuaga kwenye mitandao wewe nenda tu, usiharibie wenzio kila mtu anauhuru wa kuchagua akipendacho.
 
Naombeni kuuliza mbona local na FTA channel quality ndogo sana nilidhani TV au TV yangu ndo changamoto kuna mtu kanishauri nibadili Hdmi ila sidhani kama ina uhusiano make channel sa michezo ziko poa mwingine kanambia et wakati wa kulifunga signal zikiwa 100% muonekano unakua low quality
 
Back
Top Bottom