Comment yako umepinga DSTV kwa kusema tukiingia tutajuta ( uliandika ukiingia utajuta) au ulimaanisha “hutajuta!!!Unahitaji IQ kubwa Sana kuelewa hapo, kama hujaelewa ujue wewe bado panzi
[emoji38][emoji38][emoji38]Habari waungwana..... Huu ndiyo muda muafaka wa kuwahama azam na kwenda kwenye full hd DSTV maana kifurushi cha Azam cha bei ya juu TSH 35,000 channel zake hazifikii kifurushi cha DSTV cha TSH 21,000.
Kwaherini Azam mlinifaa Sana kwa kipindi nilichokuwa nanyi na huu ndiyo muda rasmi wa kuwahama. Ndugu bakhresa usijisikie mnyonge maana bado tutaendeleea kushirikiana katika huduma zingine kama vile, unga wa maandazi, juici za ukwaju, mikate na kadhalika, Ila kwa upande wa king'amuzi kwaheri Mzee.
Wako katika ujenzi wa Taifa...
Bafetimbi
Ile package ya Azam ya 35,000 ina Chanel nyingi kweli lakini ukichunguza kwa Malini tumepigwa changa la macho pale maana wamejaza machanel ya kihindi kibao ambayo hutakuja kuangalia hata siku moja lakini umelipia
Si kweli , kwa Azam ili uweze kuona hii mipira yenu ya akina Mbeya kwanza na Namungo ni lazima ulipe elfu 23 , na bila soka kwenye Azam labda uangalie wanyama tu , dishi lao ni 210,000 , Dstv dish ni 59,000 , kifurushi cha elfu 21 kinatosha kabisa kuinjoi , na hata soka baadhi ya gameSimply waswahili sisi hatuna uwezo wa ku afford DSTV
Azam si wana mpaka kifurushi cha mia5 sijui kwa siku
Mwalimu wako wa lugha alikuwa shallow sana sasa hiyo uliyoandika "Mxiew" ndiyo nini? Unajua kuvua chupi tuComment yako umepinga DSTV kwa kusema tukiingia tutajuta ( uliandika ukiingia utajuta) au ulimaanisha “hutajuta!!!
Na pia at the same time unaiponda Azam na package yake ya 5K kwamba tutaishia kuzima Tv. Means!?! Azam sio nzuri…
Rudia kusoma ujinga uliouandika, na nikurekebishe wewe low IQ.
Kalili inaandikwa kariri’
Unajifanya unajua kumbe huna hata unachokijua.. Mxiew
Nimekufyoza 😂😂 maana unajifanya ubongo umekazaMwalimu wako wa lugha alikuwa shallow sana sasa hiyo uliyoandika "Mxiew" ndiyo nini? Unajua kuvua chupi tu
Local channels ni bureMkuu unauhakika hizo Chaneli hazikati?? Maana kwangu nilikaaa wiki bila kulipia wakachukua zote wakaniachia TBC.
Kabisa aisee yani azam bila mamipira ya kibongo hakuna jipya pale ni ukatuni mtupu na itawachukua muda mrefu sana watu kulielewa hiliSi kweli , kwa Azam ili uweze kuona hii mipira yenu ya akina Mbeya kwanza na Namungo ni lazima ulipe elfu 23 , na bila soka kwenye Azam labda uangalie wanyama tu , dishi lao ni 210,000 , Dstv dish ni 59,000 , kifurushi cha elfu 21 kinatosha kabisa kuinjoi , na hata soka baadhi ya game
Hazikati mwanangu yani dstv kwa sasa wamekuwa watamu utafikiri pale katikati kwa watu flani hivi panapofunikwaga na vinguo flani hivi vyembamba Sana vingine vya pinki mara vyeupe sometime vyeusi yani burudaaaaaaaaani haswaaMkuu unauhakika hizo Chaneli hazikati?? Maana kwangu nilikaaa wiki bila kulipia wakachukua zote wakaniachia TBC.
Sio kupachika tu, itabidi utafute satelaiti ya chaneli za Dstv. Chaneli za Dini zipo.Kule mkoani kuna king'amuzi cha dishi cha azam hakiwaki, kimekorofisha. Hivi si ninaweza kwenda na cha dstv nikapachika tu pale! Waliopo nyumbani haina haja ya azam kwa sababu hawamjui hata mchezaji mmoja wa ligi kuu.
Hiyo DSTV ina channel za dini ya kristo?
Inamaana wanaingiza pesa siku za Simba na yanga Tu na pia unaangalia viewers wa tz tu ndiyo zinaingiza Sana hela au sio, vipi Congo wanaijua Azam? Burundi, Rwanda, na Africa ya Kati huko wanaijua Azam au sio!!! King'amuzi gani ikinyesha mvua Chanel zote zinakata ni azamhayo mampira ndo yanawaingizia pesa na watu kuliko hao Dstv wew unadhani akicheza simba au yanga arafu man u au chelsea nani atakua na viewer wengi kwa hapa Tz
Nimekupata mkuu. Itabidi nimtafute fundi tu palepale.Sio kupachika tu, itabidi utafute satelaiti ya chaneli za Dstv. Chaneli za Dini zipo.