Hatimaye Elizabeth Michael "Lulu" na Francis Ciza "Majizzo" wafunga ndoa baada ya uchumba wa miaka miwili na nusu

Hatimaye Elizabeth Michael "Lulu" na Francis Ciza "Majizzo" wafunga ndoa baada ya uchumba wa miaka miwili na nusu

Nimeona nisipite bila kuiloga hii ndoa umu... Haaayaa tawire tawiree...
 
Hahaaaaa uzi huu noma umevamiwa balaa, anyway waache wa enjoy maisha ,ila kademu kaache u frii mason maana kamewaua sana kwa uchawi sawa majizzo ajiangalie sana hako kademu noma kanaweza kunywa damu yake any time kakiamua
 
Hahaaaaa uzi huu noma umevamiwa balaa, anyway waache wa enjoy maisha ,ila kademu kaache u frii mason maana kamewaua sana kwa uchawi sawa majizzo ajiangalie sana hako kademu noma kanaweza kunywa damu yake any time kakiamua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah lol
 
Namuonea huruma sana Lulu yaani anabrand mbaya sana kuhusu mahusiano.
Siombei lakini ikitokea Ciza akaondoka kabla ya Lulu walimwengu watasema mengi sana
 
Good news, kahangaika hatimaye kamuona huyo ndio wife material kwake, huyu maana yake ni kuwa ana kitu ambacho wengine wote aliokutana nao hawana...
Mtoto bado mbichi huyo 23 majizo ameona sio mtu chini tepee wapi
 
Namuonea huruma sana Lulu yaani anabrand mbaya sana kuhusu mahusiano.
Siombei lakini ikitokea Ciza akaondoka kabla ya Lulu walimwengu watasema mengi sana
Mkuu punguza uchawi bc hayo mahusiano mabaya ni yapi? Majizo yupo na lulu huu mwaka karibu wa tano na ushee mmepiga kelele amuoe hatimaye kaolewa bado tu mnapiga ramli aisee tuna matatizo sana wa Tanzania.
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Ile ndoa iliyosubiriwa sana na kusemewa maneno mengi hatimaye imefungwa.

Lulu na Majizzo wameoana leo kanisa la mtakatifu Gasper na inasemekana wako Serena hotel hivi sasa wakipiga picha.



View attachment 1703731

Ikumbukwe Lulu alivalishwa pete ya uchumba kama suprize kwenye sherehe kuuubwa mnamo Septemba 30, 2018 >> Elizabeth 'Lulu' Michael achumbiwa na RDJ Majizzo

Nipo huku kuzimu mazee steven kanumba ana stres ile mbaya
 
Back
Top Bottom