Kyokola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 1,402
- 1,894
Wataachana tu
Acha uchawi wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataachana tu
Basi njoo nikuoe mke wa tatu upunguze machunguWanawake wengine hata hawafai kuolewa, basi tu
[emoji23][emoji23]Wabongo wataanza ongelea kuzaa [emoji28][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee JF ibaki tuHongera zao kwa kubariki ndoa...
Kwahiyo walishaoana sio??[emoji23]Eeeh we ndio umenena ukweli..! Wamebariki ndoa tu
Kisheria wale ni Mr and Mrs siku nyingi tu..Kwahiyo walishaoana sio??[emoji23]
Wameoana? Au mmoja kamuoa mwezie??Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Ile ndoa iliyosubiriwa sana na kusemewa maneno mengi hatimaye imefungwa.
Lulu na Majizzo wameoana leo kanisa la mtakatifu Gasper na inasemekana wako Serena hotel hivi sasa wakipiga picha.
View attachment 1703731
Ikumbukwe Lulu alivalishwa pete ya uchumba kama suprize kwenye sherehe kuuubwa mnamo Septemba 30, 2018 >> Elizabeth 'Lulu' Michael achumbiwa na RDJ Majizzo