ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Yule analetaga faili kama lote.Hanaga mchezo kabisa atakuwa ni ofisa wa KGB yuleHii habari angeileta warumi ingesheheni nyama za kutosha, ungekuta ana mpaka taarifa za ndani kabisa za mganga wa bi.harusi
Acha wivu wewe🤣Wanawake wengine hata hawafai kuolewa, basi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa akili yako ww...
lazima hizo shule na vyuo ulivyosoma vipo kwa Mtogole
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah lolHahaaaaa uzi huu noma umevamiwa balaa, anyway waache wa enjoy maisha ,ila kademu kaache u frii mason maana kamewaua sana kwa uchawi sawa majizzo ajiangalie sana hako kademu noma kanaweza kunywa damu yake any time kakiamua
Basi ntakuoa ili usiwe desperateWanawake wengine hata hawafai kuolewa, basi tu
Mtoto bado mbichi huyo 23 majizo ameona sio mtu chini tepee wapiGood news, kahangaika hatimaye kamuona huyo ndio wife material kwake, huyu maana yake ni kuwa ana kitu ambacho wengine wote aliokutana nao hawana...
Lulu binafsi ana nyumba tatu na ghorofa anataka kujenga sasaDuuuuh sio mchezo aiseee!! Safi sana! Kabakiza kujenga nyumba ya maana tu...Maana Mbweni kajenga Servant kota.
Hata Tunda bado mdogo ila katumika mnooooooooo. Kama ni gari km zimesoma vibaya sana.Mtoto bado mbichi huyo 23 majizo ameona sio mtu chini tepee wapi
Mkuu punguza uchawi bc hayo mahusiano mabaya ni yapi? Majizo yupo na lulu huu mwaka karibu wa tano na ushee mmepiga kelele amuoe hatimaye kaolewa bado tu mnapiga ramli aisee tuna matatizo sana wa Tanzania.Namuonea huruma sana Lulu yaani anabrand mbaya sana kuhusu mahusiano.
Siombei lakini ikitokea Ciza akaondoka kabla ya Lulu walimwengu watasema mengi sana
Lulu binafsi ana nyumba tatu na ghorofa anataka kujenga sasa
Wema aliniacha hoi mall ya bagamoyo na kuanzisha station yake ya radio, hadi let kimyaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi unaamini maigizo ya wasanii? Wema alishawahi kutuonyesha jumba la mil 400 na Baraka Da prince ashawahi kutuonyesha mjengo wake kwenye kipindi cha ujenzi EATV.
Wema aliniacha hoi mall ya bagamoyo na kuanzisha station yake ya radio, hadi let kimyaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo huku kuzimu mazee steven kanumba ana stres ile mbayaHayawi hayawi sasa yamekuwa. Ile ndoa iliyosubiriwa sana na kusemewa maneno mengi hatimaye imefungwa.
Lulu na Majizzo wameoana leo kanisa la mtakatifu Gasper na inasemekana wako Serena hotel hivi sasa wakipiga picha.
View attachment 1703731
Ikumbukwe Lulu alivalishwa pete ya uchumba kama suprize kwenye sherehe kuuubwa mnamo Septemba 30, 2018 >> Elizabeth 'Lulu' Michael achumbiwa na RDJ Majizzo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hatareeeh sanaHawa wasanii wetu si wa kuwaamini hata kidogo.