kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Sio vibaya wakirudiana ni jambo la kheri ila tuwe tunaweka akiba ya maneno jamani!
Hawa watu walivyochafuana wataonekana vituko tu mbele ya jamii.
Jambo la heri kurudiana na adui aliyetaka kukupoteza ktk uso wa dunia??..ndio mnavyojidanganya hayo mapenzi ya kweli?? Nyie ndio mnapendaga hata nyoka