babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,643
- 3,301
kwahiyo sie chapombe haturuhusiwi kuoa ama??Mke awe mvumilivu tu maana jamaa cha pombe balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo sie chapombe haturuhusiwi kuoa ama??Mke awe mvumilivu tu maana jamaa cha pombe balaa
tuma picha ake huyo dada tumfananishe na bi harusi isije kuwa ndo kaolewami nilifikiri amemuoa esta dalali yule dada anayeuza kuku toka singida, au ndio yalikuwa mambo ya kuosha rungu tu!!
kweli umekata tamaaZamani mtu ukivuta jiko au kuoa.....unaheshimika sana mbele ya jamiii.......na kuwa mfano wa kuigwa kwa vijana wenzako......
Kutokana na ndoa kugeuka kuwa magereza ya mateso.....na vifungo vya dhiki.....kijana kuoa imekuwa habari ya kushangaza sana na pengine kukuonea huruma.....
Wakati wao wanakushangaa.....na wewe unawashangaaa.....
ahahaaami nilifikiri amemuoa esta dalali yule dada anayeuza kuku toka singida, au ndio yalikuwa mambo ya kuosha rungu tu!!
kweli umekata tamaa
yaani hawakupendeza kabisaHaaa hongera zake vp hapo ndo huyo alieshika mike au ni huyo alovaa koti jekundu!
na mambo ya kuoanakweli umekata tamaa
Ndoa zingekuwa kama unavyozielezea nafikiri tusingezishuhudia ktk nyumba za ibada na kusingekuwa na familia maana hakuna apendae gereza.
na mambo ya kuoana
hapana me bado badoNataka nkuoe wewe binti....!!!
Hata mimi nimemshangaa hadi nikahisi huenda sijamuelewa anamaanisha nini! Ilinichukua zaidi ya dakika 1 naikodolea macho post yake kabla sijaijibu... niliamini sijamuelewa!Unakaa nchi gani wewe??? Tanzania hii kuna mwanaume atake kuoa na ashindwe(akose)?????
Hata kama ni hanithi. Mwanaume hakosi mke wewe kwa jinsi walivyojaa
Kila mtu anataka kuoneka vizuri kwenye picha za harusi, si ajabu hapo imepita miezi 4 ya kushinda na njaa.Hao hao wembamba wengine wanaasili ya unene wakishaolewa wakazaa wanajiachia wanakuwa wanene..lakini kwenye harusi hapo utasema miss si huyu.
haaaaaa!!!unasemaje?!!!Safi sana. Chama letu linazidi kupigwa na dhoruba!!
Nini unachojifunza ukishaoa? Wezi wote nchi hii nao wameshaoa! Waliokuwa wanatorosha makontena kule bandarini nao wameshaoa! Wazinzi wote ni wale wale ambao wameshaoa! Ni hao hao ambao wameshaoa, utakuta badala ya kutunza familia, wanaitekelekeza kwa ajili ya nyumba ndogo! I am sorry Sir, there's nothing to learn toka kwa wenye ndoa zaidi tu ya kujiunga kwenye timu ya mafedhuli!Wazazi wako hawakutakii mema ujue kuna wakati maisha ya kisela kwako inabidi yabaki historia ukioa unajifunza mengi sana katika maisha ukijumlisha pamoja na majukumu ya kuwa na familia
hapana me bado bado
Hutakiwi hata kusoma uzi huu achilia mbali kucomment...manake huelewi kinachoendelea!Mmm hata cjaelewa hapo ndo yupi
So unataka kusema hata wazazi wako hawaishi pamoja? Hawakuoana?Nini unachojifunza ukishaoa? Wezi wote nchi hii nao wameshaoa! Waliokuwa wanatorosha makontena kule bandarini nao wameshaoa! Wazinzi wote ni wale wale ambao wameshaoa! Ni hao hao ambao
wameshaoa, utakuta badala ya kutunza familia, wanaitekelekeza kwa ajili ya nyumba ndogo! I am sorry Sir, there's nothing to learn toka kwa wenye ndoa zaidi tu ya kujiunga
kwenye timu ya mafedhuli!